Full Text: Hotuba ya Sugu - Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Mungu anajua wanachostahiki Andrew Chenge na maCCM wenzake hapa duniani, Na sisi wananchi ni wajibu wetu kubadilisha uelekeo wa nchi yetu ( Mama Tanganyika).

Inafikia hatua CCM wanaamua kufuta usajili wa dini, nashangaa inawezekanaje kukawa hata na huo usajili wa dini katika mamlaka hii dhalimu ya CCM.
Hiki kiburi wanakitoa wapi?

Watanzania tukishindwa kuwaondoa hawa kina Chenge, Ngeleja, Lowasa, Shaban Gurumo, Kinana, Nape tukiamini ni mpango wa Mungu sisi kuwa masikini. Tutakuwa tumewatendea kosa kubwa babu zetu, bibi zetu, baba zetu, mama zetu, dada na kaka zetu, watoto wetu, wajukuu wetu.
Tusikubali hii nchi iendelee kuwa chni ya chama cha Lusinde, Makonda wenyewe mnajua hawana busara wanaharibu maadili kwa matusi yao na matendo yao dhalimu
 
Mungu anajua wanachostahiki Andrew Chenge na maCCM wenzake hapa duniani, Na sisi wananchi ni wajibu wetu kubadilisha uelekeo wa nchi yetu ( Mama Tanganyika).

Inafikia hatua CCM wanaamua kufuta usajili wa dini, nashangaa inawezekanaje kukawa hata na huo usajili wa dini katika mamlaka hii dhalimu ya CCM.
Hiki kiburi wanakitoa wapi?

Watanzania tukishindwa kuwaondoa hawa kina Chenge, Ngeleja, Lowasa, Shaban Gurumo, Kinana, Nape tukiamini ni mpango wa Mungu sisi kuwa masikini. Tutakuwa tumewatendea kosa kubwa babu zetu, bibi zetu, baba zetu, mama zetu, dada na kaka zetu, watoto wetu, wajukuu wetu.
Tusikubali hii nchi iendelee kuwa chni ya chama cha Lusinde, Makonda wenyewe mnajua hawana busara wanaharibu maadili kwa matusi yao na matendo yao dhalimu

Maskini ni wewe mwenyewe, unashinda kijiweni unafikiri Nape au Comrade Kinana atakuja kukufanyia kazi umeliwa!!! Hayo mabadiliko ya maisha utayasikia kwenye bomba!Asiyefanya kazi na asile!!
 
Maskini ni wewe mwenyewe, unashinda kijiweni unafikiri Nape au Comrade Kinana atakuja kukufanyia kazi umeliwa!!! Hayo mabadiliko ya maisha utayasikia kwenye bomba!Asiyefanya kazi na asile!!

Siasa inaathiri maisha yetu ya kila siku, mimi kwa nafasi yangu mkulima na mfanyabiashara ndogo ndogo nimeathiriwa vikali na maamuzi ya serikali ya CCM. Ni mjinga tu pekee au asiyeshiriki shughuli za kujikwamua atakuwa hajaonja hadha za CCM. Wao hawakutelemshwa kama msaafu waje kutawala, muda wao umetosha tutawaweka wengine ili tuwapime jinsi wanavyotumia kodi zetu
 
Siasa inaathiri maisha yetu ya kila siku, mimi kwa nafasi yangu mkulima na mfanyabiashara ndogo ndogo nimeathiriwa vikali na maamuzi ya serikali ya CCM. Ni mjinga tu pekee au asiyeshiriki shughuli za kujikwamua atakuwa hajaonja hadha za CCM. Wao hawakutelemshwa kama msaafu waje kutawala, muda wao umetosha tutawaweka wengine ili tuwapime jinsi wanavyotumia kodi zetu

teh teh We mkulima na mfanyabiashara ndogondogo wapi??.we mchuja nafaka tu kama lilivyojina lako time zote uko JF KILIMO unafanya saa ngapi tena nyie ndo hamlipi kodi nyie,umekimbia kijijini uko mjini afu unapiga kelele umeathiriwa na CCM wakati umejiathiri mwenyewe!!
 
CCM wamepata hati safi wao?

Nyie si ndo mnajita watetezi wa Haki za wanyonge???tena wa kutumainiwa sasa leo kutafuna Ruzuku teh teh tena waziwazi mpaka mnafikia kupata hati ya mashaka afu mnajidai mnapiga vita ufisadi wakati mna hati mbaya kutoka kwa CAG kuhusu matumizi mabaya ya fedha,kweli nimeamini Tanzania hatuna upinzani tuna wachumia tumbo!!
 
Sasa hivi nchi iko kwenye mchakato wa kuandikisha watanzania wenye sifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

Mchakato huo unaendelea katika mikoa mbalimbali.

Jambo la kushangaza ni kwamba ni vyama vya UPINZANI tu (UKAWA) ndivyo vinahamasisha watanzania wenye sifa wajitokeze kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Si CCM wala NEC ambayo mpaka sasa imetoa elimu au kuhamasisha watanzania kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Je ni kwanini CCM na NEC hawako interested kuona Watanzania wengi wanajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura?
 
Sasa hivi nchi iko kwenye mchakato wa kuandikisha watanzania wenye sifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura.

Mchakato huo unaendelea katika mikoa mbalimbali.

Jambo la kushangaza ni kwamba ni vyama vya UPINZANI tu (UKAWA) ndivyo vinahamasisha watanzania wenye sifa wajitokeze kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Si CCM wala NEC ambayo mpaka sasa imetoa elimu au kuhamasisha watanzania kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Je ni kwanini CCM na NEC hawako interested kuona Watanzania wengi wanajiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura?


Mbona la Katiba mpya hamlalamiki??mnachanja mbuga kuna mwananchi asiyejua kuwa kuna daftrari la kudumu la wapiga kura?? Na sasa wananchi katika maeneo mbalimbali wanajiandikisha?? Nini nafasi ya vyama vya siasa katika hili?? matangazo yanayopita kwenye Tv na Redio na mitandao ya kijamii pamoja na Ratiba iliyotolewa na TUME kuhusu tarehe hamjayasikia??au ni kutaka kutafuta kuonewa huruma!!!Mwogopeni Mungu msipitilize kwa uongo ni dhambi!!
 
Back
Top Bottom