Hamna lolote la maana zaidi ya kupiga kampeni bungeni. Hii ndio faida ya kutokua na elimu. Zee zima linaongea rubbish
Mbowe anajidanganya nchii haita waka moto na kama uandikishaji utakuwa haujakamilika muda utaongezwa ili kukamilisha na nchi kamwe haito waka moto!
Dvs 5 ya mlungo utaelewa kweli.Mimi sijawahi kuona hotuba yote mtu analalamika tu sijui anamlalamikia nani sasa kwani hana ufumbuzi wa jambo hata moja wala mpango wowote hana.
Kama rais wakoMbowe mbona hajazungumzia mafao na posho za wabunge. nae ni fisadi
Mbowe mbona hajazungumzia mafao na posho za wabunge. nae ni fisadi
Watanzania sasa hawajadili hotuba ya Pinda bali wanajadili ya KUB Freeman Mbowe
Mbowe anajidanganya nchii haita waka moto na kama uandikishaji utakuwa haujakamilika muda utaongezwa ili kukamilisha na nchi kamwe haito waka moto!
Afu ukweli kutoka moyoni pinda wakati anawasilisha hotuba yake nilizima tv .... ukiniuliza kazungumza nini wala sijui manake niliogopa kupata kichefuchefu na kuharibu siku yangu ! Jioni ndio nilijiandaa kusikiliza hotuba ya KUB manake nilijua lazima itanibariki na hakika imenibariki sana.... Hongera nyingi kwa Mh Mbowe na UKAWA kwa ujumla
Afu ukweli kutoka moyoni pinda wakati anawasilisha hotuba yake nilizima tv .... ukiniuliza kazungumza nini wala sijui manake niliogopa kupata kichefuchefu na kuharibu siku yangu ! Jioni ndio nilijiandaa kusikiliza hotuba ya KUB manake nilijua lazima itanibariki na hakika imenibariki sana.... Hongera nyingi kwa Mh Mbowe na UKAWA kwa ujumla
Dvs 5 ya mlungo utaelewa kweli.
swissme
Naona unaongea kinyume na maumbile
kamata nakala hiyo....
Naomba Kubenea au mwandishi yeyote anayejitambua aiweke hotuba hii kwenye gazeti maana imesheheni fikra mpya tu hakuna porojo mule
Magazeti yote yenye akili hotuba ya Mbowe ndiyo itabeba habari kubwa kesho.
Magazeti ya kufungia vitumbua ndiyo yatapuuza hotuba hii.