Entrepreneur
JF-Expert Member
- Jun 26, 2011
- 1,087
- 620
Wanajamvi,
Ufugaji wa kuku wa kienyeji umekuwa ni nyenzo muhimu ya kunyanyua uchumi wa familia nyingi mijini na vijijini. Hata hivyo ili kukidhi soko la walaji ni vyema tukitumia vitu ambavyo teknolojia imetupatia ili kufikia malengo yetu ya kiuchumi na kijamii. Na hapa ndipo linapokuja suala la kutotolesha vifaranga vingi kwa wakati mmoja kwa kutumia viatamizi (incubators). Mashine hizi zinaweza kutotoa vifaranga kati ya 250 hadi 2000 kwa wakati mmoja.
Kwangu mimi, kikwazo kikubwa kilikuwa ni namna watu wa vijijini wanavyoweza kunufaika na teknelojia hii hasa ikizingatiwa kuwa uendeshaji wa mashine hizi unahitaji umeme, bidhaa ambayo kwa asilimia kubwa haipatikani vijijini. Lakini baada ya kukutana Bw. Zacharia Zamoke, (mtengenezaji wa mashine hizi) alinihakikishia uwezo wake wa kutengeneza mashine inayotumia mafuta ya taa. Mjasiriamali huyu ameingiza sokoni bidhaa ijulikanayo kama Imberuzi, na inapatikana katika aina tatu
1. Imberuzi Small: It can hatch up to 250 eggs. It only costs. $ 1000
2. Imberuzi Medium: It can hatch up to 600 eggs. It only costs $ 2000
3. Imberuzi Maximum: It can hatch up to 2000 eggs. It costs only $ 6500
Kwa picha na maelezo zaidi watembelee hapa . Na kwa mawasiliano zaidi piga +255 755 722447 au + 255 719 932550
Ufugaji wa kuku wa kienyeji umekuwa ni nyenzo muhimu ya kunyanyua uchumi wa familia nyingi mijini na vijijini. Hata hivyo ili kukidhi soko la walaji ni vyema tukitumia vitu ambavyo teknolojia imetupatia ili kufikia malengo yetu ya kiuchumi na kijamii. Na hapa ndipo linapokuja suala la kutotolesha vifaranga vingi kwa wakati mmoja kwa kutumia viatamizi (incubators). Mashine hizi zinaweza kutotoa vifaranga kati ya 250 hadi 2000 kwa wakati mmoja.
Kwangu mimi, kikwazo kikubwa kilikuwa ni namna watu wa vijijini wanavyoweza kunufaika na teknelojia hii hasa ikizingatiwa kuwa uendeshaji wa mashine hizi unahitaji umeme, bidhaa ambayo kwa asilimia kubwa haipatikani vijijini. Lakini baada ya kukutana Bw. Zacharia Zamoke, (mtengenezaji wa mashine hizi) alinihakikishia uwezo wake wa kutengeneza mashine inayotumia mafuta ya taa. Mjasiriamali huyu ameingiza sokoni bidhaa ijulikanayo kama Imberuzi, na inapatikana katika aina tatu
1. Imberuzi Small: It can hatch up to 250 eggs. It only costs. $ 1000
2. Imberuzi Medium: It can hatch up to 600 eggs. It only costs $ 2000
3. Imberuzi Maximum: It can hatch up to 2000 eggs. It costs only $ 6500
Kwa picha na maelezo zaidi watembelee hapa . Na kwa mawasiliano zaidi piga +255 755 722447 au + 255 719 932550