uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 7,941
- 11,222
Match Day
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
All the Best Mnyama
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
Kikosi cha Simba Kitakachoanza.
Kikosi Cha Singida FG Kinachoanza
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Match Nyingine Ya Kundi B,
Imemalizika APR 3 - 1 JKU.
Hii inatoa sababu ya Simba kushinda Mechi ya Leo ili kujihakikishia nafasi ya Kuingia robo fainali.
Dakika ya 1'
Simba wanapata Kona, inapigwa
inakuwa tena kona.
Inapigwa haileti madhara
Dakika 17'
Simba SC 0 - 0 Singida
Game on.
Dakika 18'
Singida Fg wanapata kona lakini haileti madhara
Dakika 23'
Simba wanapata faulu eneo zuri kabisa.
Anapiga Kanoute inatoka nje, inakuwa Goal Kick
Dakika 27'
Bocco anakosa goli la wazi kabisa
Dakika 34'
Singida wanapata kona.
Inapigwa inaokolewa.
Dakika 38'
Singida FG wanapata faulo ila haileti madhara.
Inaokolewa na Salim
Dakika 40'
Onana anachezewa faulo.
Simba wanapata free kick nje kidogo ya 18,
Anapiga Kanoute inatoka nje.
Dakika 45'
Nyongeza ni 5
HT
Simba 0 - 0 Singida fg
Dakika 50'
Goal, Onana.
Simba 1 - 0 Singida FG
Dakika 59'
Goal, Luis Miquisonne
Simba 2-0 Singida Fg
Game On....
FT
Simba 2 - 0 Singida fg
Msimamo wa Kundi B
Hongera Mnyama.
Simba Vs Singida FT FC.
Time: 20:15.
#nguvumoja#
Hii Match ni muhimu kwa Simba ila haina Pressure kabisa.
Simba wanahitaji point 3 ili kuingia robo fainali.
Nimejaribu kutengeneza Standing Table ya Kundi B.
Singida FG yeye ameshaingia Robo fainali, anakuja kukamilisha ratiba tu.
Tizama Msimamo wa Kundi B
Kikosi Cha Singida FG Kinachoanza
Simba anapaswa kushinda hii game ili game ya Mwisho na APR iwe rahisi zaidi.
Match Nyingine Ya Kundi B,
Imemalizika APR 3 - 1 JKU.
Hii inatoa sababu ya Simba kushinda Mechi ya Leo ili kujihakikishia nafasi ya Kuingia robo fainali.
Dakika ya 1'
Simba wanapata Kona, inapigwa
inakuwa tena kona.
Inapigwa haileti madhara
Dakika 17'
Simba SC 0 - 0 Singida
Game on.
Dakika 18'
Singida Fg wanapata kona lakini haileti madhara
Dakika 23'
Simba wanapata faulu eneo zuri kabisa.
Anapiga Kanoute inatoka nje, inakuwa Goal Kick
Dakika 27'
Bocco anakosa goli la wazi kabisa
Dakika 34'
Singida wanapata kona.
Inapigwa inaokolewa.
Dakika 38'
Singida FG wanapata faulo ila haileti madhara.
Inaokolewa na Salim
Dakika 40'
Onana anachezewa faulo.
Simba wanapata free kick nje kidogo ya 18,
Anapiga Kanoute inatoka nje.
Dakika 45'
Nyongeza ni 5
HT
Simba 0 - 0 Singida fg
Dakika 50'
Goal, Onana.
Simba 1 - 0 Singida FG
Dakika 59'
Goal, Luis Miquisonne
Simba 2-0 Singida Fg
Game On....
FT
Simba 2 - 0 Singida fg
Msimamo wa Kundi B
Hongera Mnyama.