FT: Simba 6 - 0 TRA | AZAM FEDERATION CUP | Azam Complex

Kikubwa tumeshinda 6 kwa 0 kwamba ni bomu mochwari tunawaachia wachamvuzi...
Hii imewajenga kisaikolojia wachezaji wetu na benchi la ufundi kwa ujumla...
Aluta continuaaaaaa
 
Ila uto wanaipenda Simba nyiee...walitunanga na watsup chanel yetu ila huwakosi kule na vi emoji vyao vya
😂.... 🥲.....😲......
 
Simba Sc Kipimo Chake Ni Timu Kama Hizi Za TRA Au Waungwana Mnasemaje?

Kwahiyo Twendeni Uwanjani Jumamosi Tukajae Uwanjani.
 
Back
Top Bottom