Muuza madafu wa Ikulu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2024
- 784
- 1,604
Ni sahihi, wazee wa kujiokotezea furaha.Watapata Cha kuwapooza mashabiki wao
Ni sahihi, wazee wa kujiokotezea furaha.Watapata Cha kuwapooza mashabiki wao
HahaaaaaModerator ndio mmetudharau hivyo hata kuweka Live mnaona ni upotevu wa bando? Sawa bwana
Wacha weeeeee, wa kimataifa hao.Dak 84'
Simba 6-0 TRA
1_Chasambi
2_ Kanoute
3_ Kanoute
4_ Fred
5_ Kanoute
6_ Pa omar Jobe
Hawa jamaa wanazinguaga sana yaani Kuna Uzi wetu ule wa Yanga walituwekea kitufe cha live kipindi cha piliModerator ndio mmetudharau hivyo hata kuweka Live mnaona ni upotevu wa bando? Sawa bwana
Ha ha ha nimecheka sana mkuuModerator ndio mmetudharau hivyo hata kuweka Live mnaona ni upotevu wa bando? Sawa bwana
Kwa hiyo wanacheza rede?Hamna mechi hapo
Kama kule mlicheza na wanaume wa shoka basi ihesabiwe..!Ile fainali ya mwaka jana kwani haihesabiki?