Ibrahim daud
JF-Expert Member
- Feb 10, 2013
- 609
- 523
HT
0-0
Orlando 77% to win
Zbc live
Kipindi Cha pili kimeanza
==========================
RS Berkane yatwaa ubingwa kwa penati
RS Berkane ya Morocco imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuifunga Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwa penati 5-4 katika fainali iliyochezwa kwenye Uwanja wa Godswill Jijini Uyo, Nigeria, usiku wa kuamkia leo Mei 22, 2022.
Hadi dakika 120 za muda wa maongezi zinakamilika matokeo yalikuwa bao 1-1.
Kabla ya fainali Orlando Pirates iliongoza Kundi B, ikaiondoa Simba katika Robo Fainali na kuifunga Al Ahli Tripoli mabao 2-1.
RS Berkane iliongoza Kundi D ikiwa pointi sawa na Simba, ikaiondoa Al Masry kwa faida ya bao la ugenini katika Robo Fainali, ikaifunga TP Mazembe 4-2 katika Nusu Fainali
Victorien Adebayor wa USGN amefanikiwa kuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 6
0-0
Orlando 77% to win
Zbc live
Kipindi Cha pili kimeanza
==========================
RS Berkane yatwaa ubingwa kwa penati
RS Berkane ya Morocco imetwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kuifunga Orlando Pirates ya Afrika Kusini kwa penati 5-4 katika fainali iliyochezwa kwenye Uwanja wa Godswill Jijini Uyo, Nigeria, usiku wa kuamkia leo Mei 22, 2022.
Hadi dakika 120 za muda wa maongezi zinakamilika matokeo yalikuwa bao 1-1.
Kabla ya fainali Orlando Pirates iliongoza Kundi B, ikaiondoa Simba katika Robo Fainali na kuifunga Al Ahli Tripoli mabao 2-1.
RS Berkane iliongoza Kundi D ikiwa pointi sawa na Simba, ikaiondoa Al Masry kwa faida ya bao la ugenini katika Robo Fainali, ikaifunga TP Mazembe 4-2 katika Nusu Fainali
Victorien Adebayor wa USGN amefanikiwa kuwa mfungaji bora baada ya kufunga mabao 6