Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 44,510
- 105,658
Endelea kukaa nyuma yaoOrando niko nyuma yenu pigeni hao waarabu.
Endelea kukaa nyuma yaoOrando niko nyuma yenu pigeni hao waarabu.
Ila hakuna timu ya kuisifia imecheza vizuri,wote wanaruka ruka tu
Na tunamtafuta aliyekwenda na kiberitiHapa Kolowizard hawajui wakae upande gani
Du! kweli Makolo kiboko, imebaki historian tu.Finalist wa champions league mwaka jana wote walifungwa na Simba
Finalist wa confederation mwaka huu wote wamefungwa na Simba
Orando niko nyuma yenu pigeni hao waarabu.
Kagera Sugar amemfunga SimbaFinalist wa champions league mwaka jana wote walifungwa na Simba
Finalist wa confederation mwaka huu wote wamefungwa na Simba
Una maanisha kufika level zA fainali au?Kwani na huku vyura bado mna timu mnaishabikia? I thought huwa mnashabikia wapinzani wa mnyama anapokuwa kwenye majukumu ya kimataifa tu maana sisi hatushabikii kilabu chochote zaidi ya chetu ambacho huwa kina fika hizo levels
MUDA WA MAONGEZI? kwani walikuwa wanashindana kuongea?Hadi dakika 120 za muda wa maongezi zinakamilika matokeo yalikuwa bao 1-1.
Nadhani hii ni mara ya kwanza final kufanyika game moja tu neutral ground sasa hili ni shida sio utamaduni wetu sababu ziko nyingi. Mpira wa Africa unategemea na viwanja vya nyumbani washabiki kutengeneza shamrashamra na figisu nyingi ndio zinafanya final kunoga ukipeleka neutral ground washabiki wa team hizi kusafiri kwa hali zetu Africa umaskini gharama kubwa na visa sio rafiki sasa wenzetu ulaya kwanza visa free halafu kiuchumi wako vizuri na usafiri ni rahisi ndio maana final zao hazijalishi zinachezwa wapi zinakuwa full na hamasa. Nadhani turudi katika mfumo wetu wa home and away, na viwanja Africa sio vizuri haya tuje kufanya siku Africa nzima visa ziwe free na usafiri uwe wa uhakika. Ni sawa Simba na Yanga waingie final halafu uwapangia final Libya unategemea nini?Mpira wa Africa bana,hata haivutii fainali yenyewe
NdioHalafu na mwaka Jana na mwaka huu Simba wamechukua makombe ya champions league na confederation
Baada ya kuwafunga nyie mpo wapi?boyaFinalist wa champions league mwaka jana wote walifungwa na Simba
Finalist wa confederation mwaka huu wote wamefungwa na Simba
Kweli mkuuNadhani hii ni mara ya kwanza final kufanyika game moja tu neutral ground sasa hili ni shida sio utamaduni wetu sababu ziko nyingi. Mpira wa Africa unategemea na viwanja vya nyumbani washabiki kutengeneza shamrashamra na figisu nyingi ndio zinafanya final kunoga ukipeleka neutral ground washabiki wa team hizi kusafiri kwa hali zetu Africa umaskini gharama kubwa na visa sio rafiki sasa wenzetu ulaya kwanza visa free halafu kiuchumi wako vizuri na usafiri ni rahisi ndio maana final zao hazijalishi zinachezwa wapi zinakuwa full na hamasa. Nadhani turudi katika mfumo wetu wa home and away, na viwanja Africa sio vizuri haya tuje kufanya siku Africa nzima visa ziwe free na usafiri uwe wa uhakika. Ni sawa Simba na Yanga waingie final halafu uwapangia final Libya unategemea nini?
Team zikifuzu world cup zinashangila na hazina ata uwezo wakuvuka group stage kwanini sisi tusishangilie kucheza na mafinalist nakupata matokeoBaada ya kuwafunga nyie mpo wapi?boya
Sasa waarabu waitwe vipi?Kwanini uwaite waarabu badala Berkane!!!
Nikweli ila ilikuwa uboya kucheza fainali mbili........sema hakuna blanding nzuri ya hayo mashindano,na promotion ni veri puaNadhani hii ni mara ya kwanza final kufanyika game moja tu neutral ground sasa hili ni shida sio utamaduni wetu sababu ziko nyingi. Mpira wa Africa unategemea na viwanja vya nyumbani washabiki kutengeneza shamrashamra na figisu nyingi ndio zinafanya final kunoga ukipeleka neutral ground washabiki wa team hizi kusafiri kwa hali zetu Africa umaskini gharama kubwa na visa sio rafiki sasa wenzetu ulaya kwanza visa free halafu kiuchumi wako vizuri na usafiri ni rahisi ndio maana final zao hazijalishi zinachezwa wapi zinakuwa full na hamasa. Nadhani turudi katika mfumo wetu wa home and away, na viwanja Africa sio vizuri haya tuje kufanya siku Africa nzima visa ziwe free na usafiri uwe wa uhakika. Ni sawa Simba na Yanga waingie final halafu uwapangia final Libya unategemea nini?
Ulichokisema ndio uhalisia mkuu.Nadhani hii ni mara ya kwanza final kufanyika game moja tu neutral ground sasa hili ni shida sio utamaduni wetu sababu ziko nyingi. Mpira wa Africa unategemea na viwanja vya nyumbani washabiki kutengeneza shamrashamra na figisu nyingi ndio zinafanya final kunoga ukipeleka neutral ground washabiki wa team hizi kusafiri kwa hali zetu Africa umaskini gharama kubwa na visa sio rafiki sasa wenzetu ulaya kwanza visa free halafu kiuchumi wako vizuri na usafiri ni rahisi ndio maana final zao hazijalishi zinachezwa wapi zinakuwa full na hamasa. Nadhani turudi katika mfumo wetu wa home and away, na viwanja Africa sio vizuri haya tuje kufanya siku Africa nzima visa ziwe free na usafiri uwe wa uhakika. Ni sawa Simba na Yanga waingie final halafu uwapangia final Libya unategemea nini?