Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Status
Not open for further replies.
Hata mimi najuta kwa kufungua uzi huu. Yaani ni kama ule msemo wetu wa wahenga, Nyani haoni...


Naumiza macho yangu Kwa kusoma hoja za kipumbavu bhana, hz hoja zingine jf mngekuwa mna remove Tu, maana hazina kichwa wala mackio.
 
Mkuu Mzito Kabwela sio kwamba bajeti inasumbua isipokuwa kuna sintofahamu kati ya Nape na Mwigulu matokeo yake sasa ndio unaona lumumba project wanabishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na nani wanayemuunga mkono.

m 23 muda mrefu hajaonekana lakini jana nimemuona amerudi wakati mwenzake bungeni yuko segerea ananyea debe.
Mkuu Mwita Maranya mimi ninachojua bungeni, M23, Tume ya Katiba, Simiyu yetu, njiwa na baba yako ni six in one mkuu. Huyu ndugu ameniongezea wigo tu wa kupata buku 7 kwa siku
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mzito Kabwela sio kwamba bajeti inasumbua isipokuwa kuna sintofahamu kati ya Nape na Mwigulu matokeo yake sasa ndio unaona lumumba project wanabishana wenyewe kwa wenyewe kutokana na nani wanayemuunga mkono.

m 23 muda mrefu hajaonekana lakini jana nimemuona amerudi wakati mwenzake bungeni yuko segerea ananyea debe.
Mkuu Mwita Maranya mimi ninachojua bungeni, M23, Tume ya Katiba, Simiyu yetu, njiwa na baba yako ni six in one mkuu. Huyu ndugu amejiongezea wigo tu wa kupata buku 7 kwa siku
 
Last edited by a moderator:
Ahaaaa! Sasa nimejua kwa nini sasa chama kimewashinda, hili ni tatizo la wasomi wao kujiweka chini ili wawaongoze kwa remote. Pole yao yakiwaibukia mambo ndo maana wanatumia mbinu ya makelele mengiiiiiiiiiiiiiiiii. Nawashauri waende shule, mbona Sumaye alienda shule licha ya kufikia hatua ya uwaziri mkuu? alijua hakuwa fit kwa kiti chake!
 
Chadema n km housing ya cm mpya, imefcha machine ya ndani, ila cku itakapo chakaa ndio 2tajua waliomo na wasio kuwemo
 
Hebu tucheki kidogo Cv za hawa jamaa kama amabvyo zinanekna kwenye Tovuti ya Bunge.


1. Nikianza na Mwenyekiti wa Chama Taifa. CV haioneshi shule ya msingi na kidato cha kwanza hadi cha nne kasoma wapi na mwaka gani kama ambavyo za wabunge wenzake zinavyoonesha. Kidato cha sita alisoma bila kupitia elimu ya Msingi na ile ya kidato cha kwanza hadi cha nne?


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL


2. Mbilinyi kaunga unga sana hii elimu ya msingi yaani kasoma shule tatu tofauti kwa nini? Vivyo hivyo kidato cha Kwanza hadi cha nne. Ni dhahiri huyu allikuwa akifeli huku anakwenda kuanza kule japo haikumsaidia sana na akabakia hapo hapo kidato cha nne ambacho hatujui naye alizungusha kama Mwenyekiti wake.
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Osmund
Middle Name: Joseph
Last Name: Mbilinyi
Member Type: Constituency Member
Constituent: Mbeya Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 815, Mbeya
Office Phone: +255 716 627344
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: jmbilinyi@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 May 1972


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Mbeya Secondary School O-Level Education 1988 1990 SECONDARY
Sabasaba Secondary School O-Level Education 1990 1991 SECONDARY
Ligula Primary School Primary Education 1981 1984 PRIMARY
Sokoine Primary School Primary Education 1984 1986 PRIMARY
Sisimba Primary School Primary Education 1986 1987 PRIMARY


3. Huyu sasa ndo kichekesho kabisa eti kamaliza tu Kidato cha nne , akaenda kuchukua shahada ya biblia, mfumo gani huu wa kumaliza kidato cha nne unakwenda kuchukua shahada potelea mbali hata kama ni ya masomo ya biblia. SLAA anaangukia kundi hili, kesho nitaiweka ya kwake hadharani.


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Rev. Peter
Middle Name: Simon
Last Name: Msigwa
Member Type: Constituency Member
Constituent: Iringa Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 316, Iringa
Office Phone: +255 754 360996
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: pmsigwa@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 8 June 1965


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
All Africa Bible College, South Africa B.Ministry 1999 2004 GRADUATE
Sangu Secondary School O-Level Education 1983 1986 SECONDARY
Magoye Primary School Primary Education 1976 1982 PRIMARY


4. Mcheki huyu sasa eti kamaliza darasa la saba mwaka 1989 na kidato cha kwanza kaanza mwaka huohuo(1989), mfumo wa nchi gani hiyo? Mbaya kabisa cheki hii, O-LEVEL(1989 hadi 1991) kidato cha nne miaka mitatu?


Jamani tunaibiwa, ufisadi huu wa elimu. Nitaendelea kuwaletea Cv za wengine kama mlivyoomba.
Halafu angalia hiyo remarks ya kwenye shahada "NOT COMPLITED" why not complited?


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Godbless
Middle Name: Jonathan
Last Name: Lema
Member Type: Constituency Member
Constituent: Arusha Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location:
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: glema@parliament.go.tz


Member Status: Current Member
Date of Birth 26 October 1976
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Cambridge International College Diploma 2008 2010 DIPLOMA
Geita Secondary School O-Level Education 1989 1991 SECONDARY
Kolila Secondary School A-Level Education 1991 1993 SECONDARY
Kalangala Primary School Primary Education 1983 1989 PRIMARY
Cambridge International College Degree 2010 Todate NOT COMPLETED


Watanzania na hasa wasomi tuwe tunajaribu kuoanisha hoja za hawa wabunge wanapokuwa kule mjengoni na elimu zao badala ya kukimbilia kuwalaumu kuwa wanaropoka hovyo ni kwa sababu ya upeo wao mdogo unaotokana na viwango vidogo vya elimu waliyo nayo.


Kesho nitawaletea Cv za Kigwangalla, Deo filikunjombe, Jafo nk

weka na ya mkeo
 
Hebu niambie ukubwa wa CV (Kwenye elimu)kama unavyo maanisha unasaidiaje kuondoa matatizo ya watanzania? Hebu niambie hawa wameondoaje umaskini wa watanzania pamoja na udaktari wao:
  1. Dr. Jakaya Kikwete
  2. Dr. Emmanuel Nchimbi

Orodha ni ndefu endeleza na wewe.....

Hivi Pinda sio doctor?

Mwigulu Nchema anayejinasibu kuwa mchumi namba moja sio doctor?

Ina maana Nnape mpaka leo hii sio doctor?

huu u-doctor uliomo CCM ndio unaimaliza kabisa CCM, bora vilaza waliomo CHADEMA maana mchango wao kwa Taifa ushaanza kuonekana pamoja na ukilaza wao
 
Linapofika swala la elimu ya viongozi wa cdm pro chadema wanakaa gizani wengi watariport thread ifungwe..

Na itafungwa kutokana na biased iliyopo hapa sometimes
 
Gamba mbona wale kina Dr.Nanii na Prof.Nanii bado hawana msaada wowote pumba tu, cha ajabu wanazdiwa ufanisi na hao unaowaona wanaelimu ya kuunga.
 
We elimu yako imekusaidia nn zaidii ya kutegemea buku saba pale lumumba.......... yaani kwa akili yako ndogo unaamini kuwa phd always means phylosophy degree..... zingine ni Pure Head Damage(PHD) km walivo macc wote..... ndo maana tuna rais anayejita msomi na kapewa I dr feki lkn bado ni dhaifi..... ndo maana tuna watu km pinda na elimu yake lkn bado ni wmkuu -------- kuwahi kutokea.......sijawasema kina nepi, mwiguluneti na vikaragosi vingine vya ccm
Akili za kusoma mtandaoni changanya na za kwako
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom