Freeman Mbowe, Sugu, Msigwa na Lema

Status
Not open for further replies.

utaifakwanza

JF-Expert Member
Feb 1, 2013
14,193
2,812
Hebu tucheki kidogo Cv za hawa jamaa kama amabvyo zinanekna kwenye Tovuti ya Bunge.


1. Nikianza na Mwenyekiti wa Chama Taifa. CV haioneshi shule ya msingi na kidato cha kwanza hadi cha nne kasoma wapi na mwaka gani kama ambavyo za wabunge wenzake zinavyoonesha. Kidato cha sita alisoma bila kupitia elimu ya Msingi na ile ya kidato cha kwanza hadi cha nne?


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Freeman
Middle Name: Aikaeli
Last Name: Mbowe
Member Type: Constituency Member
Constituent: Hai
Political Party: CHADEMA
Office Location: P.O. Box 3070, Moshi
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: fmbowe@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Secondary School Secondary Education - - HIGH SCHOOL


2. Mbilinyi kaunga unga sana hii elimu ya msingi yaani kasoma shule tatu tofauti kwa nini? Vivyo hivyo kidato cha Kwanza hadi cha nne. Ni dhahiri huyu allikuwa akifeli huku anakwenda kuanza kule japo haikumsaidia sana na akabakia hapo hapo kidato cha nne ambacho hatujui naye alizungusha kama Mwenyekiti wake.
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Osmund
Middle Name: Joseph
Last Name: Mbilinyi
Member Type: Constituency Member
Constituent: Mbeya Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 815, Mbeya
Office Phone: +255 716 627344
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: jmbilinyi@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 1 May 1972


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Mbeya Secondary School O-Level Education 1988 1990 SECONDARY
Sabasaba Secondary School O-Level Education 1990 1991 SECONDARY
Ligula Primary School Primary Education 1981 1984 PRIMARY
Sokoine Primary School Primary Education 1984 1986 PRIMARY
Sisimba Primary School Primary Education 1986 1987 PRIMARY


3. Huyu sasa ndo kichekesho kabisa eti kamaliza tu Kidato cha nne , akaenda kuchukua shahada ya biblia, mfumo gani huu wa kumaliza kidato cha nne unakwenda kuchukua shahada potelea mbali hata kama ni ya masomo ya biblia. SLAA anaangukia kundi hili, kesho nitaiweka ya kwake hadharani.


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Rev. Peter
Middle Name: Simon
Last Name: Msigwa
Member Type: Constituency Member
Constituent: Iringa Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location: Box 316, Iringa
Office Phone: +255 754 360996
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: pmsigwa@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Date of Birth 8 June 1965


EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
All Africa Bible College, South Africa B.Ministry 1999 2004 GRADUATE
Sangu Secondary School O-Level Education 1983 1986 SECONDARY
Magoye Primary School Primary Education 1976 1982 PRIMARY


4. Mcheki huyu sasa eti kamaliza darasa la saba mwaka 1989 na kidato cha kwanza kaanza mwaka huohuo(1989), mfumo wa nchi gani hiyo? Mbaya kabisa cheki hii, O-LEVEL(1989 hadi 1991) kidato cha nne miaka mitatu?


Jamani tunaibiwa, ufisadi huu wa elimu. Nitaendelea kuwaletea Cv za wengine kama mlivyoomba.
Halafu angalia hiyo remarks ya kwenye shahada "NOT COMPLITED" why not complited?


Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation Honourable Member picture


First Name: Godbless
Middle Name: Jonathan
Last Name: Lema
Member Type: Constituency Member
Constituent: Arusha Mjini
Political Party: CHADEMA
Office Location:
Office Phone:
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: glema@parliament.go.tz


Member Status: Current Member
Date of Birth 26 October 1976
EDUCATION
School Name/Location Course/Degree/Award Start Date End Date Level
Cambridge International College Diploma 2008 2010 DIPLOMA
Geita Secondary School O-Level Education 1989 1991 SECONDARY
Kolila Secondary School A-Level Education 1991 1993 SECONDARY
Kalangala Primary School Primary Education 1983 1989 PRIMARY
Cambridge International College Degree 2010 Todate NOT COMPLETED


Watanzania na hasa wasomi tuwe tunajaribu kuoanisha hoja za hawa wabunge wanapokuwa kule mjengoni na elimu zao badala ya kukimbilia kuwalaumu kuwa wanaropoka hovyo ni kwa sababu ya upeo wao mdogo unaotokana na viwango vidogo vya elimu waliyo nayo.


Kesho nitawaletea Cv za Kigwangalla, Deo filikunjombe, Jafo nk
 
Na kwa CV hizo hizo wanazidi kuwapiga Magamba. Mwaka huu mtatafuta mpaka hospitali walizozaliwa! Arusha 4 - 0!
 
Kwani mkuu babayako wewe ni mgeni hapa Tanzania?

Hao uliowaorodhesha wote wanajulikana ni "vilaza".
 
Last edited by a moderator:
Hebu niambie ukubwa wa CV (Kwenye elimu)kama unavyo maanisha unasaidiaje kuondoa matatizo ya watanzania? Hebu niambie hawa wameondoaje umaskini wa watanzania pamoja na udaktari wao:
  1. Dr. Jakaya Kikwete
  2. Dr. Emmanuel Nchimbi

Orodha ni ndefu endeleza na wewe.....
 
Leo ni CHADEMA day kumbe!!! kwani Magamba wamevamia jamvi asubuhi na mapema. Hoja za CV zimeshapitwa na wakati tunachopima ni pale mpira upo katikati ni CV itacheza au talent?
Kama akili yako inafikiri na kufanya research vizuri utagundua talent haipimwi na CV.. Hata kama Mbowe, Msigwa, sugu, Lema,Mnyika, nk wangekuwa na CV nzuri halafu kwenye uwanja wa siasa wakawa bogus hizo CV zingekuwa na maana gani?
 
Nyimbo za Ugaidi,Ukabila ,Udini na ukanda zimechuja sasa unakuja kwenye cv, uongozi siyo cv ni kipaji kutoka kwa mungu,ni madudu mangapi yanafanywa na watu wanao jiita wana Phd, mirambo alikuwa na cv ipi mbona ni shujaa na atakumbukwa na vizazi vyote.Hebu tupatie cv yako

Wewe unajua Mirambo aliishi kwenye karne gani? Unajua hii ni karne gani?
 
Naumiza macho yangu Kwa kusoma hoja za kipumbavu bhana, hz hoja zingine jf mngekuwa mna remove Tu, maana hazina kichwa wala mackio.
 
Kuna watu wajinga sana
mbona tuna maprofesa wengi sana wametusaidia nini katika siasa??? Non
sense.

huoni profesa safari anavyowabeba kwenye kesi zenu? prof feki ni kahigi tu ambaye hajui hata kusoma hotuba ambaye naye yupo chadema
 
Hivi wale madakatari waliompasua mtu kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa si wana ma CV mpaka wanaitwa MABINGWA? JE ukubwa wa CV ulisaidia nini pale?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom