Higash
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 839
- 149
kwani hujui elimu ya mwanasiasa ni kujua kusoma Na kuandika?elim ya mwenyekiti haiwez kutuletea madaliko,aondoke
kwani hujui elimu ya mwanasiasa ni kujua kusoma Na kuandika?elim ya mwenyekiti haiwez kutuletea madaliko,aondoke
kwani hujui elimu ya mwanasiasa in kujua kusoma Na kuandika?elim ya mwenyekiti haiwez kutuletea madaliko,aondoke
kwa hiyo we baba yako akianzisha kampuni akampa shemeji yako ukurugenzi hio kampuni itakuwa ya watu sio tena ya familia si ndio au?Na ww acha ulimbukeni chama ni taasisi ya watu watu wengi. Ila mbowe amekifanya chama kampuni na yy ndo mkurugenzi mtendaji. Au kwa sababu baba mkwe ndio muasis?
Acha jazzba lete sera mbowe hana KITUAnzisha chama chako ama ujiunge na huyu unayemshabikia pambafffff!
Piga kura ya hapana wkt wa uchaguz. Ukituambia aondoke now ni sawa nankutupigia kelele. Sio muda wa uchaguz huu.mbowe aondoke chama si mali yake
Akuachie chama we kama nani?!!....... Unamjua mwenye Chadema wewe?Kwa mwendo wa Magufuli ,Mbowe ameshindwa kuja na fikira mpya za kuendesha chama ,Tafadhali tuachie chama.
Ndugu zang na wanachama wenzang hili nimeliona na bado najiuliza ni kutokana na elim yake (from 6 zero) imeshindwa kuendana na Docta Magufuli au nini,Tafadhali Mbowe tuachie chama.
Yangu ni hayo tu.
Hahaha...elimu ya pihechidii ambayo muhusika ameisomea kwa lugha ya kiingereza na bado hajui kiingereza..aiserKwa mwendo wa Magufuli ,Mbowe ameshindwa kuja na fikira mpya za kuendesha chama ,Tafadhali tuachie chama.
Ndugu zang na wanachama wenzang hili nimeliona na bado najiuliza ni kutokana na elim yake (from 6 zero) imeshindwa kuendana na Docta Magufuli au nini,Tafadhali Mbowe tuachie chama.
Yangu ni hayo tu.
unaitafta bann bureTell your mother to go not Mbowe!!!
kwa lipiShetwani mkubwaaa, Ulaaniwe na kila kiumbe
mwanachama mpenda demokrasiaWho r you? Katika chama?
sawa mkuu ila kiongozi wetu amepwaya sanaHahaha...elimu ya pihechidii ambayo muhusika ameisomea kwa lugha ya kiingereza na bado hajui kiingereza..aiser
Ben saanane Mungu akurehemu huko ulipo
Washindwaje kumpuuza basi?Mbowe anapata wapi ujasiri wa kuhubiri demokrasia?
Wala rambirambi si ndo hao wanakulipa bk7?Patrobas Katambi: Hivi, viongozi wa upinzani wakipewa nchi nani wanaweza kuunda serikali? Kama wanashindwa kusimamia bajeti ya msiba, wataweza kusimamia bajeti ya Taifa
Na ww si upite iv yaan kwa kajihoja chako icho ambacho hakitoshi hata kichwa cha habar ndicho kimtoe mbowe kwenye nafas hiyo