Chadema ni mpango wa Mungu, Madereva nchi nzima wanaikubali chadema, abiri nchi nzima mpango wao mi chadema
October will take over.
Hawa madereva tunawachekelea sana,kila siku wanachinja ndugu zetu tunakaa kimya.Wakati umefika kama wao wanavyogoma kiholela holela ikitokea dereva amesababisha ajali ya kizembe na bado anapumua basi apate ile adhabu tunayowapa vibaka mitaani kwetu,Fire.
Mbowe awezi kumaliza mgomo wa madereva ni serikali lete vitu vya kueleweka cio kubashiri huyu mbowe Pierre nkurunziza wa Tanzania anaichakachua ya katiba ya chadema hili aendelee kuwa mwenyekiti wa chadema kamwe awezi kumaliza mgomo wa madereva peleka utumwa wa fikra uko kwenu
Mbowe ni mtu muhimu kibiashara? Kuna Dereva wake naye aligoma nini? Basi lake linaitwaje?Unashindwa kufahamu mambo haya kuhusu Mbowe.
1/Mbowe ni mwakilishi wa wananchi ndani na nje ya bunge.
2/Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA, chama kinachotawala jimbo la Ubungo.
3/Mbowe ni mtu muhimu na mashuhuri kisiasa, kibiashara na kijamii.
4/Mbowe ni sehemu ya wadai wa usafiri ndani kama Abiria.
5/Mbowe ni kiongozi mkubwa mwenye ushawishi, busara na maarifa ya kutosha katika kutatua migogoro sehemu zenye mijadala yenye misuguano.
6/Mbowe ni mkazi wa Tanzania ambaye ameathirika na mgogoro wa madereva.
Zitto kajaa makamasi kichwani hana chaa kumshauri Mbowe asingekuwa nje ya ulingo amefiksiwa kisiasa na wajanja wa wasalitiMbowe bila ZZK hanaga washauri wazuri ....yeye mshauri wake siku hizi Lema, Msigwa na Kbenea unategemea nini hapo?
7.Baba yake Mbowe ndiye aliyemfadhili Nyerere kwenda kwa malkia kudai uhuruUnashindwa kufahamu mambo haya kuhusu Mbowe.
1/Mbowe ni mwakilishi wa wananchi ndani na nje ya bunge.
2/Mbowe ni Mwenyekiti wa CHADEMA, chama kinachotawala jimbo la Ubungo.
3/Mbowe ni mtu muhimu na mashuhuri kisiasa, kibiashara na kijamii.
4/Mbowe ni sehemu ya wadai wa usafiri ndani kama Abiria.
5/Mbowe ni kiongozi mkubwa mwenye ushawishi, busara na maarifa ya kutosha katika kutatua migogoro sehemu zenye mijadala yenye misuguano.
6/Mbowe ni mkazi wa Tanzania ambaye ameathirika na mgogoro wa madereva.
Watanzania wenzangu hebu tuitazame CCM kwa jicho la tatu. Hivi ni kweli ndani ya chama hiki tawala hakupatikana mtu mwenye ushawishi kuweza kuongea na madereva wa Ubungo waliogoma? hivi, ni kweli inawezekana CHADEMA ni chama kilichokosa mvuto kama wanavyodai? Sasa kinawezaje kupokewa kwa shangwe na nderemo pale ubungo hadi kuongea na madereva hatimaye wakasitisha mgomo na kuondoa adha iliyopo kwa wasafiri?
Kama chama kimeshindwa kusuluhisha mgogoro wa madereva ubungo tu, hivi tunategemea chama hiki kinaweza kusuluhisha migogoro ya Wilaya nzima ya Kinondoni? Au kukiwa na migogoro mbalimbali kwa Pande zote za mkoa wa Dar es Salaam, hiki chama kitaweza kweli? achilia mbali kwa nchi nzima.
Watanzania ndugu zangu, ni lazima tujipime sasa tunapoenda kupiga kura hapo Oktoba. Tusifanye makosa, nasema tena tusifanye makosa. CCM imeshindwa tokea uhuru na haitaweza kamwe. TWENDENI TUKAJIANDIKISHE, TWENDENI TUKAPIGE KURA ILI KUIONDOA HII CCM ILIYOSHINDWA.
Nawasilisha.