Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Maskini watz, shida kichani unatibu mkono. Mbowe hata akizungumza nao hatotatua shida yao, mara ngapi wameishia kubeba popularity kwa ahadi zisizofanyiwa kazi na CCM? Napenda wachina na waisrael, Piga kwenye kiini cha tatizo na sio kuyumbayumba na vumbi
Unauwakika hatatatua?