Freeman Mbowe awasili kituo kikuu cha Mabasi Ubungo na kulakiwa kwa shangwe kubwa

20150504232850.jpg
huyu makonda amepigwa mawe na kufukuzwa , ndio kisa cha kuita jeshi zima.
 
Kwanini Mbowe.? Kama kuna siasa chafu ktk hili madreva watakuwa watu wa ajabu sana.

Kwa nini Mbowe?! swali la kijinga sana hilo! Nina hakika hulijui hili! Nature abhors a vacuum!!! (Maumbile hayapendi Ombwe; (Vacuum)! sasa kama wahusika kwa maana ya mzee wa Piga tu (PT); Peter Pinda na muhujumu wa katiba Six wanakwepa majukumu yao eti kisa wao ni watu wakubwa sana!! ni lazima iwepo njia ya tatu (The third way) ya kushughulikia tatizo hilo; afterall Mbowe is the PM in waiting. Waziri Mkuu kivuli. angalia reception aliyopata kwa kuonyesha kwamba anajali! nakuapia mgomo huu unakwisha as soon as Mbowe atakapoondoka Ubungo; Ana goodwill; political mileage na ushawishi wa kutosha katika jamii hususani walalahoi.
 
Mungu saidia watu wa watu hawa,viva CHADEMA kimbilio la wanyonge.Go kamanda go!!
 
Umati wa Madereva Ubungo Wakisubiria kumsikiliza kiongozi wa Upinzani na Waziri mkuu Kivuli Mh Freeman Mbowe.
attachment.php
 

Attachments

  • Mbowe ubungo.jpg
    Mbowe ubungo.jpg
    35 KB · Views: 25,415
Naamini kamanda wa anga mpaka anatoka hapo mabasi yatakuwa yanelekea shell kujaza mafuta tayari kwa safari!
 
mkuu molemo ni vizuri ukituwekea hapa picha za kamanda mbowe akishangiliwa ambapo inasemekana madereva wamemsikiliza kwa makini sana na kuna tetesi kwamba wamemhakikishia kamanda mbowe kwamba kesho asubuhi wanaamsha magari kwa heshima yake , hebu tuweke sawa kwenye hili , hali ikoje ? hongera mbowe , hongera madereva , hongera cdm .
 
Maskini watz, shida kichwani unatibu mkono. Mbowe hata akizungumza nao hatotatua shida waliyonayo, mara ngapi wanasiasa wameishia kubeba popularity kwa ahadi zisizofanyiwa kazi na CCM? Napenda wachina na waisrael, Piga kwenye kiini cha tatizo na sio kuyumbayumba na vumbi
 
mkuu molemo ni vizuri ukituwekea hapa picha za kamanda mbowe akishangiliwa ambapo inasemekana madereva wamemsikiliza kwa makini sana na kuna tetesi kwamba wamemhakikishia kamanda mbowe kwamba kesho asubuhi wanaamsha magari kwa heshima yake , hebu tuweke sawa kwenye hili , hali ikoje ? hongera mbowe , hongera madereva , hongera cdm .

Tutaziweka kamanda bila shaka
 
Kwa nini Mbowe?! swali la kijinga sana hilo! Nina hakika hulijui hili! Nature abhors a vacuum! (Maumbile hayapendi ombwe)! sasa kama wahusika kwa maana ya mzee wa Piga Peter Pinda tu na muhujumu wa katiba Six wanakwepa majukumu yao eti kisa wao ni watu wakubwa sana!! ni lazima iwepo njia ya Tatu ya kushughulikia tatizo hilo; afterall Mbowe is the PM in waiting. Waziri Mkuu kivuli. angalia reception aliyopata kwa kuonyesha kwamba anajali! nakuapia mgomo huu unakwisha as soon as Mbowe atakapoondoka Ubungo; Ana goodwill; political mileage na ushawishi wa kutosha katika jamii hususani walalahoi.

Umenibariki sana mkuu MTK!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: MTK
Unajua nimekuwa nikishangaa sana Kikwete amekuwa akikiri kwamba kwa sasa kuna ombwe la uongozi bial kutoa solution. Juzi ITV UVCCM wamesema kwamba kwa sasa kuna ombwe la uongozi na hivyo awamu ijayo, watajitahidi kusiwepo.

Hivi, ni kweli kwamba hawajui kama hakunaga vacuum ya uongozi? Kama uongozi ulioandikwa, utaacha mapengo, hayo mapengo ghafla yatajazwa na watu wengine bila kelele wala mgogoro.

Shida huwa wanashtuka wakati tayari vacuum imeshajazwa halafu wanaanza kufight back. Ni sawa na wanaolalama hapa mtandaoni kwa nini Mbowe. Kwani wao na hao wanataka wawe, hawakujua kuna tatizo la kutatua?

Wengine walitatua kwa kusema 'WAPIGWE", wengine wakasema "NI UPEPO TU UTAPITA", Wengine walijifanya haliwahusu, lakini pia wao waliodharau, na wengine wengi walikimbilia kusema ni mkono wa mtu.

Sasa mbowe, a natural leader, amekuwa empathetic and sympathetic kwa wahanga na wadau wote wa janga hili hivyo, anachokifanya ni kutumia uwezo wake wa uongozi kuliokoa taifa. Halafu wapu.bavu wachache wanachonga midomo kama wanyama. Kipi bora, kuacha tatizo liendelee kwa kuwa serikali imeshindwa kutatua, au kutumia raslimali watu tulizonazo katika nchi kumaliza tatizo na kuwafanya watu waendelee na maisha?

KWA UFUPI, SERIKALI IMEFAIL, SASA VIONGOZI WANAINGILIA KUMALIZA MGOGORO MBELE YA KILA MTU. ASIYETAKA ANYWE SUMU!.


Ndugu, nchi yoyote kuna utaratibu wa utawala kuanzia mjumbe wa shina mpaka rais. Sasa ikitokea wakati wowote huu mfumo ukawa dormant basi atatokea mtu yeyote kusimamia mambo na endapo ataonekana kutatua matatizo basi kila mmoja atamsikiliza. Ngoja tuona kama Mh. Mbowe anaweza kuwa ntu wa namna hiyo!

 
Hapa Waziri mkuu Kivuli Akiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni kwenye ofisi za Madereva Hapa Ubungo....Majadiliano yanaendelea....Huenda mgomo Ukatatuliwa leo Na Mh Mbowe..hii ni Baada ya Waziri mkuu kukataa kuja kuonana na Madereva hawa......Will keep you Updated.
attachment.php
 

Attachments

  • Mbowe akiwa na Makonda ubungo.jpg
    Mbowe akiwa na Makonda ubungo.jpg
    52.3 KB · Views: 24,942
Back
Top Bottom