Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kilichobaki ni kumuomba mungu tu hali ya uvumilivu itawale mioyo ya watanzaniaDereva wetu, anaipeleka nchi kubaya. Time will tell.
Kilichobaki ni kumuomba mungu tu hali ya uvumilivu itawale mioyo ya watanzaniaDereva wetu, anaipeleka nchi kubaya. Time will tell.
Hapo ndio huwa napata wasiwasi juu ya uraia wakoMbowe ukisita kwenda utashughulikiwa bila huruma.
Magufuli ni chaguo la Mungu.
Na Mungu aliwaona mlivyo muita JK dhaifu sasa pambaneni na huyu mliye muhitaji.
Ni kweli mkuu, kule Geita imebidi waziri Mwigulu aende mwenyewe kumuokoa yule kijana wetu. .. Wao Wanasubiri maandamano na mikutano...[/QUOTE]Ni UOTE="Econometrician, post: 17023848, member: 178807"]polisi wa Tanzania wamekosa kazi
acha kuleta ulofa wako we unaona sawa wapinzani kuonewa?ipo siku familia yako itajaguswa na wewe uone uchungu jinsi wapinzani wanavyoonewa.Huyu ndio kiherehere..
Hatuwezi kuangalia nchi ikivurugwa na watu wachache
Dua zetu sasa hivi ni kwa viongozi wa upinzani wa kweli kama ukawa wawe na moyo wa subira na uvumilivuKinachofanyika ni kujaribu kujenga hofu miongoni mwa watu ili waweze kutawalika kirahisi.
Hii ni mbinu ya kutawala lakini itashindwa tu.
Subutu=thubutuBoli liko kwenu , yeye kasema subutu!
Nyie mnasema mnaweza!
Kaza mshipa ukaandamane jumatatu, uende na helmet ya bodaboda maana si virungu hivyo jamaa wanajifua!!
Watu sasa tumehamia kwenye sukari guru tuMkuu kama uko Mwanza najua mgomo wa daladala utakuwa umekuathiri hata kama ni indirectly. Vipi hapo ulipo sukari bado ni 3,000/- au imeshashuka bei!
Ndo nasema boli liko kwenyu bana!Subutu=thubutu
Kwani hivyo virungu ni model mpya auu?
Hivi wewe kwanza hata maandamano ya amani ulishawah kushiriki??
Kumbuka haki haiombwi bali inatafutwa.. Haki ukiiomba inakua co haki tena ni msaada..
Virungu mbwembwe tu
Unataka wawe wavumilivu mara ngapi?Kilichobaki ni kumuomba mungu tu hali ya uvumilivu itawale mioyo ya watanzania
Unalaana ya kolomba wewe siyo bureAdamaneni mkamtoe, nguvu ya umma haishindwi bwana ayah! Halafu ratiba imebana sana, ila najiuliza Hai inawabunge wangapi? Naona ka nusu ya wabunge viti maalum asili yao hai.
Dereva wetu, anaipeleka nchi kubaya. Time will tell.
Sina uhakika kama anaweza kuisomaUnataka wawe wavumilivu mara ngapi?
BTW unatakiwa kumuandikia barua Mh Rais
Kuisoma ataweza, Mwami ametushauri wananchi wote tunaopigania demokrasia tuandike kwa wingi barua kwenda ikulu kuashiria ubinywaji wa demokrasia. ... ili kuokoa maisha ya masikini kwenye UKUTASina uhakika kama anaweza kuisoma
Mkuu mcubic hilo ni neno lenye maana lkn lazima ujue kuwa ndani ya act bado mna watu wanao jaribu kudhoofisha nguvu na juhudi za makusudi za mwami za kupigania demokrasia ya kweli.kumbuka umoja ni nguvu na sisi tulio nje ya act tunajitahidi kuwapa ushirikiano lkn bado kuna mtu mmoja anaitwa Doto anatuangusha sana wapinzaniKuisoma ataweza, Mwami ametushauri wananchi wote tunaopigania demokrasia tuandike kwa wingi barua kwenda ikulu kuashiria ubinywaji wa demokrasia. ... ili kuokoa maisha ya masikini kwenye UKUTA
Kazi wanayo ya udhibiti wa wahuni na waleta vurugu hapa nchini! Unasemaje hawana kazi?polisi wa Tanzania wamekosa kazi
Bado ana hasira ya jinsi mlivyomtoa baruti mwami, atarudi kundini, maana kwa sasa hatuna ahueni, kama vile siye si watanzania.Mkuu mcubic hilo ni neno lenye maana lkn lazima ujue kuwa ndani ya act bado mna watu wanao jaribu kudhoofisha nguvu na juhudi za makusudi za mwami za kupigania demokrasia ya kweli.kumbuka umoja ni nguvu na sisi tulio nje ya act tunajitahidi kuwapa ushirikiano lkn bado kuna mtu mmoja anaitwa Doto anatuangusha sana wapinzani
We nyang'au Wa wap? Unauzi na ushabiki wakoWalisema haya sasa wanajuta..