Baba Watoto
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 393
- 278
Jamani naweza kuwa ni Mtanzania wa kwanza wa kutokufuatilia historia ya viongozi wetu, hivi ndugu Fredrick Sumaye yupo kweli?
Sijamsikia kwa muda mrefu sana, hana mbio za uraisi au yeye ni waziri mkuu wa awamu ya tano?
Sijamsikia kwa muda mrefu sana, hana mbio za uraisi au yeye ni waziri mkuu wa awamu ya tano?