Shibalanga
Senior Member
- Mar 1, 2011
- 178
- 93
Fredrick Mwakalebela aliyewahi kuwa katibu mkuu wa TFF na Mgombea ubunge wa Iringa mjini (CCM) kabla hajawekewa mizengwe ya rushwa, amepata kazi shirika la makumbusho ya Taifa (National museum of Tanzania) kuwa AFISA UTUMISHI NA UTAWALA MKUU, ama kweli kama wasemavyo waungwana Mungu akifunga mlango moja hufungua mlango mwingine cha muhimu ni kutokukata tamaa. kila la kheri Mwakalebela katika majukumu yako mapya.
Source: Mwananchi
Source: Mwananchi