Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Tumeubwa tofauti,mpaka mwanaumke akupe penzi kakupenda achili mbali hawa machangu....ila kwa swala la mahusiano makini...ndio maana hata katika maamuzi mengi chumbani mwanaume anakuwa ndio wa mwisho...hata mwanamke awe na uwezo gani...akisha ridhia kufanya mapenzi unaweza fanya lolote....ndio maana unashangaa wakati mwingine hata wanafanya chini,kwenye majani....
Tofauti na wanaume,tamaa mara kwa mara huwa inaogoza na wala si mapenzi...ndio maana unaweza kuta linawanaweke lukuki lakini mkewe akitaka kulipiga chini tu linakuwa kama limemwagiwa maji.Kwa huyo ndio lililo mpenda hao wengine pengine hata busu hawajahi pata zaidi ya kutumika kama chombo cha starehe....
Vingine mke akisha olewa na mume kuna heshima flani inaongezeka sio kama hawala,au demu...kuna pigo unaacha kumfanyia kabisa...unaenda practise nje...kumhurumia...
Tofauti na wanaume,tamaa mara kwa mara huwa inaogoza na wala si mapenzi...ndio maana unaweza kuta linawanaweke lukuki lakini mkewe akitaka kulipiga chini tu linakuwa kama limemwagiwa maji.Kwa huyo ndio lililo mpenda hao wengine pengine hata busu hawajahi pata zaidi ya kutumika kama chombo cha starehe....
Vingine mke akisha olewa na mume kuna heshima flani inaongezeka sio kama hawala,au demu...kuna pigo unaacha kumfanyia kabisa...unaenda practise nje...kumhurumia...