MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Nauliza tu
Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?
Je ni kweli kuwa mke aloolewa hana haki ya kumwacha /kumpa talaka mumewe akimfumania? Mie sijawahisikia mwanamke kamwacha mumewe kwa kosa la uasherati ila wanaume wengi tu tena kwao huwa ni rahisi utasikia ah jamaa si kacheat ndo mana kaachwa.
Je ndivyo mlivyokina kaka?
Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?
Je ni kweli kuwa mke aloolewa hana haki ya kumwacha /kumpa talaka mumewe akimfumania? Mie sijawahisikia mwanamke kamwacha mumewe kwa kosa la uasherati ila wanaume wengi tu tena kwao huwa ni rahisi utasikia ah jamaa si kacheat ndo mana kaachwa.
Je ndivyo mlivyokina kaka?