Forgiveness..?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Nauliza tu

Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?

Je ni kweli kuwa mke aloolewa hana haki ya kumwacha /kumpa talaka mumewe akimfumania? Mie sijawahisikia mwanamke kamwacha mumewe kwa kosa la uasherati ila wanaume wengi tu tena kwao huwa ni rahisi utasikia ah jamaa si kacheat ndo mana kaachwa.

Je ndivyo mlivyokina kaka?
 
THAT IS THE NATURE OF LIFE MY SISY!
it goes that way AUTOMATICALLY!just go back to some many years back,YOU WILL FIND THE SAME TYPE OF LIFE,and the situation was even WORSE!infact the same thing is prevailing IN A MODIFIED FORMAT
 
mwanamke ukikutwa ujue ndio njia ya kwenu inakuhusu, na aibu/kashfa kibao! na hata mwanaume akiamua kukusamehe atakusamehe kinafiki tu mkikwaruzana kidogo utaambiwa"ndio mana uli......." haa, wao ni atarudi home atakumbembeleza hapooo weee mchezo unasonga, mambo ya tamaduni sijui nisemeje.
 
THAT IS THE NATURE OF LIFE MY SISY!
it goes that way AUTOMATICALLY!just go back to some many years back,YOU WILL FIND THE SAME TYPE OF LIFE,and the situation was even WORSE!infact the same thing is prevailing IN A MODIFIED FORMAT

Eeheee? kumbe kuna mengi siyafahamu kwa kweli kuhusu mahusiano ya mapenzi.
 
Nauliza tu

Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa??


Sababu ni moja yenye (a) na (b)
(a) Kumbuka wanaume tunatoa, nyie mnapokea wakati wa kufanya matusi.
(b) K ya mwanamke inapungua ubora/kongoroka kadiri inavyotumika wakati M*** za wanaume zinazidi kuwa imara mara dufu kadiri zinapotumika.Pia zinapaswa kupata uzoefu.
 
mwanamke ukikutwa ujue ndio njia ya kwenu inakuhusu, na aibu/kashfa kibao! na hata mwanaume akiamua kukusamehe atakusamehe kinafiki tu mkikwaruzana kidogo utaambiwa"ndio mana uli......." haa, wao ni atarudi home atakumbembeleza hapooo weee mchezo unasonga, mambo ya tamaduni sijui nisemeje.

Dada si ndo mana nkashangaa ila wao ni right yao kusamehewa!! Ama kweli hatuko sawa.

Na bado nasikia hata ukimkuta juu ya kifua bado ni marufuku kukubali kosa!!

Ama kweli wanatuoa na si tunaoana
 
Sababu ni moja yenye (a) na (b)
(a) Kumbuka wanaume tunatoa, nyie mnapokea wakati wa kufanya matusi.
(b) K ya mwanamke inapungua ubora/kongoroka kadiri inavyotumika wakati M*** za wanaume zinazidi kuwa imara mara dufu kadiri zinapotumika.Pia zinapaswa kupata uzoefu.

Hee!! Hii ni kali kwa kweli... eti....?

I wish zingekuwa miche ya sabuni!!:mad:
 
Nauliza tu

Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?

...inategemea na kosa ndugu, kuachana ni suala lingine. Kuna kiwango cha kusameheana hasa unapojiona kuna namna moja au nyingine umehusika kupelekea mwenzio ku cheat. Msije nitoa macho hapa!
 
...inategemea na kosa ndugu, kuachana ni suala lingine. Kuna kiwango cha kusameheana hasa unapojiona kuna namna moja au nyingine umehusika kupelekea mwenzio ku cheat. Msije nitoa macho hapa!

Ningeomba Mkuu unifafanulie vizuri maan a mie wengi nliosikia sikuwahi kumwona mwanamke alosamehewa baada ya kufumaniwa na mumewe ila wanaume waliosamehewa ni wengi ikiwemo mmoja aliyetembea na shemeji yake yaani mdogo wa mkewe na mwingine alifumaniwa na Housegirl kitandani kwa mkewe bado walisamehewa.
 
Nauliza tu

Hivi ni kwa nini huwa ni ngumu kwa wanaume walio wengi kumsamehe mke pale anapomgundua kuwa anacheat ila kwake anataka asamehewe kama vile ni haki yake kusamehewa?

Je ni kweli kuwa mke aloolewa hana haki ya kumwacha /kumpa talaka mumewe akimfumania? Mie sijawahisikia mwanamke kamwacha mumewe kwa kosa la uasherati ila wanaume wengi tu tena kwao huwa ni rahisi utasikia ah jamaa si kacheat ndo mana kaachwa.

Je ndivyo mlivyokina kaka?

Simpo, mke ndie anaebeba siri ya mtoto kabla ya pirika za kupimana DNA hazijaanza. Sasa usamehe huku hujuwi mtoto ni wa nani, si kazi hiyo. Siku hizi kusameheana ni baada ya vipimo vya DNA siyo kabla.

Kwa upande wa mume mara nyingi huku kwetu yeye ndio huwa bread earner, hako nako kanachangia kusamehewa, na in case mama ndio bread earner hapo misamaha huwa rare nadhani.
 
Ningeomba Mkuu unifafanulie vizuri maan a mie wengi nliosikia sikuwahi kumwona mwanamke alosamehewa baada ya kufumaniwa na mumewe

...Mwanamke akifumaniwa anauchuna kimyaaaaaaa, hata mashoga zake hawajui... na kawaida ya mwanaume hajitangazii mitaani nimemfumania mke wangu... ndio maana huzisikii kwa wingi.

...ila wanaume waliosamehewa ni wengi ikiwemo mmoja aliyetembea na shemeji yake yaani mdogo wa mkewe na mwingine alifumaniwa na Housegirl kitandani kwa mkewe bado walisamehewa.

...exactly, kwakuwa wanawake wengi wanajiona kupaza sauti kila mtu asikie kafumania ndio deal... kama ule msemo,'...yao hawayasemi, ya wenzake mdomo juu!'

soma posting nyingi humu, wanawake wengi ndio walio mstari wa mbele kulalama waume zao oooh nyumba ndogo, oooh, wamebadilika hawalali nyumbani...
 
Simpo, mke ndie anaebeba siri ya mtoto kabla ya pirika za kupimana DNA hazijaanza. Sasa usamehe huku hujuwi mtoto ni wa nani, si kazi hiyo. Siku hizi kusameheana ni baada ya vipimo vya DNA siyo kabla.

Kwa upande wa mume mara nyingi huku kwetu yeye ndio huwa bread earner, hako nako kanachangia kusamehewa, na in case mama ndio bread earner hapo misamaha huwa rare nadhani.

In red nimeielewa ila ya juu yake sijazungumzia akizaa nje nope hata kama hajamimbiwa huko kwenye affair. Yaani kenda chovya kama vile wewe unavyochovya kwa galfriend wa pembeni
 
In red nimeielewa ila ya juu yake sijazungumzia akizaa nje nope hata kama hajamimbiwa huko kwenye affair. Yaani kenda chovya kama vile wewe unavyochovya kwa galfriend wa pembeni

Si lazima awe kazaa, utajuwaje kama kisha beba katoto tumboni?

Afu, taadab, mie sina ka galfrendi wala kabibi ka nje, umri wangu hauni ruhusu hao anti zako wa halali wawili wananitosha, mabusuuutiii.
 
Si lazima awe kazaa, utajuwaje kama kisha beba katoto tumboni?

Afu, taadab, mie sina ka galfrendi wala kabibi ka nje, umri wangu hauni ruhusu hao anti zako wa halali wawili wananitosha, mabusuuutiii.

............. am thoriii sikumaanisha kuwa unae gal friend shemeji. Nithamee:)
 
Kuna mziki fulani kila mwanaume anausikia kivyake..sasa akigundua njemba nyingine inapigiwa mziki ule ule au zaidi ya ule moyo watakachomoka hivyo suala la maridhiano linakuwa gumu
 
Kuna mziki fulani kila mwanaume anausikia kivyake..sasa akigundua njemba nyingine inapigiwa mziki ule ule au zaidi ya ule moyo watakachomoka hivyo suala la maridhiano linakuwa gumu

Jamani kwani hata sie huo mziki hatuusikiliziagi?.... Inauma the same Ndahani ila inakuwaje ukigundua mimi manpa beat jirani ukatae kunisamehe na badala yake unaniwahisha Terminal haraka ila mie utegemee nikusamehe?
 
Sababu ni moja yenye (a) na (b)
(a) Kumbuka wanaume tunatoa, nyie mnapokea wakati wa kufanya matusi.
(b) K ya mwanamke inapungua ubora/kongoroka kadiri inavyotumika wakati M*** za wanaume zinazidi kuwa imara mara dufu kadiri zinapotumika.Pia zinapaswa kupata uzoefu.

tehe tehe tehe
 
Mi nilidhani wanawake huwa hawa cheat.....

Haaa! nani ka kuambia tena wa sasa ndo balaa asikuambie mtu...vishtobe juu juu kama break za honda! Na ndo maana kutokana na hio tabia ya eti mwanamme akifumwa asemehewe ila mwanamke la, imezua mambo kama hayo. Wanacheat kama hawana akili nzuri yani. Kazi kwenu wanaume...huruma kwa kweli.
 
unajua picha anayoipata mwanaume akimfumania mkewe? anaimejin jinsi ambavyo huwa 'anamkandamiza' then mwanaume mwingine akandamize? hii inampa mwanaume uchungu na wivu sana
 
Back
Top Bottom