antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 448
- 870
Ok
Hahaha du!!wabongo washampa ubongo tayariNimesoma sehemu habari za huyu tajiri nikapigwa na butwaa.
kweli na azingatie masharti ya kwenye viza yake asije akatumika kufanya ujasusi kwani tuko kwenye Vita ya uchumi ambayo sio rahisi kumuona adui lakini unajikuta tayari ushatekwa na wazunguAzingatie work permit.
mwehuMajizi Hayana Nafasi Awamu Hii Ya Tano
Kumbe kuna sindile mwingine wa mbeya? Just curious!Nimesoma sehemu habari za huyu tajiri nikapigwa na butwaa.
Daa unataka mpaka huone kwa machoMajizi Hayana Nafasi Awamu Hii Ya Tano
Teh teh nakucheka ww sio hao vjanaSiku hiyo nitakuwa kwenye shamba langu la mpunga/mahindi huko Kilosa... Vijana wa dar nendeni mkafundishwe ku download hela teh teh
Not again for your side i think is againForex Back Again.
HahaaaaaaaaaaaKumbe ni Shezi!
Nilidhani umesahau kuweka "n" kabla ya "zi"
Lazma ule shule ya maana inaonekana ulikulupukaHaya majamaa yamenitia umaskini sitaki kuyasikia!
Ha ha ha Forex is not for everyone! Vichwa maji tupite mbali.Mkuu endelea na issue zako huku tuachie wenye high IQ
Mkuu mbona huyu tapeli yahoo finance hayupo?Nimesoma sehemu habari za huyu tajiri nikapigwa na butwaa.
Mkuu hebu fungua hii link hapa.Mkuu mbona huyu tapeli yahoo finance hayupo?