barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Jarida maarufu la Forbes limetoa orodha ya mabilionea 50 (matajiri) wa Afrika wakiongozwa na Aliko Dangote.
Katika Tanzania,Rostam Aziz anashika nafasi ya 27 kwa Afrika na nafasi ya kwanza Tz akiwa na utajili wa thamani ya dola bilioni moja,akifuatiwa na Reginald Mengi aliye wa 34 Afrika na utajili wa Milioni 550;Mohamed Dewji na Said Bakheresa wanashika nafasi ya 38 Afrika wakiwa na utajili wa dola milion 500.
Mo Dewji amevunja rekodi ya kuwa bilionea kijana kuliko wote,akiwa na miaka 38 tu. Ajabu ni kuwa hata Forbes wameshindwa kupata picha ya Said Salim Bakheresa ili kuiweka ktk kumtambulisha,na wameishia kuweka picha kivuli tu
Katika Tanzania,Rostam Aziz anashika nafasi ya 27 kwa Afrika na nafasi ya kwanza Tz akiwa na utajili wa thamani ya dola bilioni moja,akifuatiwa na Reginald Mengi aliye wa 34 Afrika na utajili wa Milioni 550;Mohamed Dewji na Said Bakheresa wanashika nafasi ya 38 Afrika wakiwa na utajili wa dola milion 500.
Mo Dewji amevunja rekodi ya kuwa bilionea kijana kuliko wote,akiwa na miaka 38 tu. Ajabu ni kuwa hata Forbes wameshindwa kupata picha ya Said Salim Bakheresa ili kuiweka ktk kumtambulisha,na wameishia kuweka picha kivuli tu