Watumiaji wa Mandela Road tulikiona cha moto juzi. Foleni ilianzia Matumbi hadi TAZARA, kontena lilikuwa limedondoka kwenye mataa. Aisee nilifika Banana saa tano usiku baada ya kutoka Ubungo saa moja jioni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.