Nimemsikia PM aki-wind up budget speech yake kwa kuzungumzia hatua za kuondoa msongamano wa magari jiji la Dar es salaam. Kasema karibuni utaanza ujenzi wa flyover Tazata, ninalojiuliza wapi kwenye umuhimu na haraka zaidi kujengwa flyover kati ya tazara na ubungo. Ubungo ndiyo barabara kuu ya kutoka/kuingia nchi zote jirani na mikoa yote ya Tanzania kutoa mtwara na lindi. Kutoka morogoro mpaka dar umbali usiozidi 200km ni mwendo wa masaa matatu(3) katika hayo masaa matatu, mbezi mpaka ubungo 11km inachukua saa moja na nusu au zaidi nyakati za jioni. Kuanzia saa 10 jioni kutoka shekilango mpaka ubungo mataa ni zaidi ya saa moja.
kwa maelezo hayo ni dhahiri ubungo mataa ndiyo penye kero kubwa zaidi kuliko crossroad yoyote nyingine jijini Dar, criterion iliyotumika kuanza na Tazara ni ipi? Au mkitoka ulaya(airport) msipate tabu?
kwa maelezo hayo ni dhahiri ubungo mataa ndiyo penye kero kubwa zaidi kuliko crossroad yoyote nyingine jijini Dar, criterion iliyotumika kuanza na Tazara ni ipi? Au mkitoka ulaya(airport) msipate tabu?