Mkare_wenu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2011
- 1,714
- 442
Post hii ni ya toka mwaka 2011 kumbe Frola kaanza mambo ya kijinga muda mrefu nimegundua kitu cha tofauti kwa kweli
Yap,hata mimi nilikuwa na doubt naye sikunyingi,kwenye sherehe nyingi za kiserikali or ccm huwa hakosi na ni yeye pekee kwenye Gospel sasa nikawa najiuliza why always yeye?Kitu gani special alichonacho kushinda wengine kinachofanya apate mialiko kwenye matukio makubwa tena pekeyake?Pia mara ashirikiane na waimba matusi wakina Temba eti wanaimba gospel lol