nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
duh...na huyu naye keshawekwa mfukoni!!!kweli huwezi kushindana na boss aliyekuteua maana jk ana interest nyingi sana kwenye uwekezaji wa FDI's humu tz,.kama amelainika hivi basi tutegemee mgao soon na yeye kuwaomba msamaha TANESCO kama wale wachumia tumbo interns