Flip flopping in Oil and Gas contracts

Zitto

Former MP Kigoma Urban
Mar 2, 2007
1,562
10,880
On sunday

"Some of the agreements are really shoddy and they need to be revoked," noted the minister

On Tuesday


'We are not trying to stop any business. We will not revoke any contract, we will respect all contracts,'
Energy and Minerals Minister Sospeter Muhongo

I said and i repeat, Prof. Muhongo as a CCM Minister is going to do nothing. Tanzania doesnt need reviews of contracts. Tanzania needs a radical approch on Oil and Gas contracts one of which is to legislate that all contracts will be made open and accessible. I have seen some of these contracts. They dont need a review done in board rooms. Once they are made public.................

Review announcement was simply a short term publicity stunt. And here he is. A flip flopper

Tue Sep 18, 2012 6:42pm GMT

* Energy minister says PSAs will be respected
* Tanzania drafting a new gas policy
* East Africa a new hot spot in oil and gas exploration

By Fumbuka Ng'wanakilala DAR ES SALAAM, Sept 18 (Reuters) - Tanzania will not revokeexisting oil and gas contracts, its energy minister said onTuesday, two days after he was widely reported in local mediasaying unfavourable deals would be scrapped. East Africa is a new hotspot in hydrocarbon explorationafter substantial deposits of crude oil were found in Uganda in2006 and major gas reserves were discovered in Tanzania andMozambique.

Some of the world's biggest energy firms jostling for spacein the region are finding themselves negotiating withgovernments that are themselves learning how to negotiate energycontracts.

Energy and Minerals Minister Sospeter Muhongo confirmed areview of all Production Sharing Agreements that had beenordered but said this was because east Africa's second biggesteconomy was preparing a new gas policy. "We are not trying to stop any business.

We will not revokeany contract, we will respect all contracts," Muhongo toldReuters.

There was no immediate reaction from the companies exploringin Tanzania, including Norway's Statoil, Ophir Energy and BG Group, which have all made significantoffshore natural gas discoveries offshore. Muhongo said the review was procedural.

It was critical, hesaid, officials were familiar with the terms of old contracts toavoid making mistakes as they drew up new deals. Earlier this month, the state-run Tanzania PetroleumDevelopment Corporation (TPDC) delayed a licensing round fornine deep-sea oil and gas blocks previously set for this monthuntil a parliamentary vote on a new gas policy in October.

"Right now as a country, we are in the gas boom and we don'thave gas policy in place. In June, Tanzania - which already uses some of its naturalgas to produce electricity and to power industry - nearlytripled its estimate of recoverable natural gas resources to upto 28.74 trillion cubic feet (tcf) from 10 trillion followingrecent major discoveries. Muhongo said he had been misquoted in Tanzania's local mediaover the weekend.

"The review of the 26 existing contracts should not frightenanyone," the minister said. Recent gas strikes off east Africa's seaboard have led topredictions the region could become the third largest exporterof natural gas on the planet. Muhongo denied Tanzania was looking to shift the goal posts.

"Our country is reviewing its policy. Is that somethingnew?" he said. "We want both the companies that are investing in thecountry and Tanzanians to benefit from the oil and gasprojects."

The speed with which east African countries like Tanzaniaadapt to their newfound resources could determine whether theregion lives up to its reputation as the latest great oil andgas frontier, with big implications for global energy flows aswell as regional energy flows. "This is completely new business to us.

We are learning,"Muhongo said.


© Thomson Reuters 2012 All rights reserved
 
what is the impression? Does it mean we don't have lawyers who can draft a win win agreement? Or are they forced by whoever to draft shoddy contracts? Shule ya nini sasa kama mambo ni hovyohovyo tu ktk nchi hii?
 
what is the impression? Does it mean we don't have lawyers who can draft a win win agreement? Or are they forced by whoever to draft shoddy contracts? Shule ya nini sasa kama mambo ni hovyohovyo tu ktk nchi hii?

Wamemnyamazisha Prof. Hawa cowboys a.k.a wawekezaji wakinyanyua simu hata mawe mazito yataondolewa. Another reason to make changes 2015.
 
what is the impression? Does it mean we don't have lawyers who can draft a win win agreement? Or are they forced by whoever to draft shoddy contracts? Shule ya nini sasa kama mambo ni hovyohovyo tu ktk nchi hii?

Transparency is a solution. We have got lawyers at TPDC and we always use experts to write these contracts for us. Minister wants same body that entered contracts to review them. Wrong. Make them Open and Tanzanians see for themselves. Transparency is the best cure for shoddy deals.
 
Zitto, why did the Prof change his stance/direction on this? What caused him to change his 'plans?
 
Wamemnyamazisha? Hakuwa anamaanisha. Najua hakuwa anamaanisha. CCM haipo tayari kufanya maamuzi magumu kwneye mikataba hii.

Ndio maana tunahitaji break ya miaka kadhaa kujiweka sawa kama nchi bila kutangaza vitalu vipya. Hii mikataba ya sasa inahitaji ukaguzi wa gharama kwanza.

Tunaibiwa sana sana huko kwenye ukaguzi wa gharama za utafutaji. Katika mikataba 26 tumekagua mikataba 4 tu na TPDC haijapewa kibali cha kuajiri. Kwenye kikao cha kamati ya POAC tulishauri kwamba CAG apeleke wakaguzi TPDC kama wakazi pale ili kumaliza ukaguzi wa mikataba hii.

Sekta ya Mafuta na Gesi sio sekta ya kukurupuka. Ni sekta inayohitaji umakini sana katika kuishughulikia. Hatuhitaji mapitio bali uwazi.
 
Zitto, why did the Prof changed his stance/direction on this? What caused him to change his 'plans?

He shot before aiming. We must be strategic. Tactics will not work.
 
Man you are fighting a losing battle! Ningekuwa wewe ningejifikiria mara mbili kuhusu kuendelea na siasa hapa Tanzania kwani jinsi ninavyoona kwa upande wako ni hakuna jinsi ambavyo unaweza ukawabadilisha Watz tena na kurudisha zile siku ambazo wengi walikukubali, the damage is done man wanasema Wazungu, mambo mengi sana yanasemwa kuhusu wewe, shutuma nyingi zenye madoa zinaelekezwa kwako na sioni jinsi unaweza ukarudi kwenye kiwango cha kukubalika na wananchi wa kawaida ulichokuwa nacho zamani! Game over man, sorry for that!

 
Zitto tusaidie kidogo. Ninesoma mara nyingi na sehemu mbalimbali na katika mojawapo ya habari hizi imesemwa kuwa Tanzania haina sera ya gesi na mafuta. Ninafahamu kuwa tayari gesi inachimbwa na soko la gesi kipo. Sasa hii inaongozwa na kusimamiwa vipi bika sera? Je tuna sheria yoyite inayosimamia sekta hii ukiondoa sheria ya madini?
 
Zitto tusaidie kidogo. Ninesoma mara nyingi na sehemu mbalimbali na katika mojawapo ya habari hizi imesemwa kuwa Tanzania haina sera ya gesi na mafuta. Ninafahamu kuwa tayari gesi inachimbwa na soko la gesi kipo. Sasa hii inaongozwa na kusimamiwa vipi bika sera? Je tuna sheria yoyite inayosimamia sekta hii ukiondoa sheria ya madini?


Sasa Bro unauliza swali wakati unaona maisha yanaendelea asee... Kama ni Gas inauzwa, na wese watachimba na kuuza bila sera na hakuna Swali....
 
Zitto tusaidie kidogo. Ninesoma mara nyingi na sehemu mbalimbali na katika mojawapo ya habari hizi imesemwa kuwa Tanzania haina sera ya gesi na mafuta. Ninafahamu kuwa tayari gesi inachimbwa na soko la gesi kipo. Sasa hii inaongozwa na kusimamiwa vipi bika sera? Je tuna sheria yoyite inayosimamia sekta hii ukiondoa sheria ya madini?

Kuna sheria ya utafutaji mafuta ya mwaka 1980 ambayo ina mapungufu makubwa sana. Hatuna Sera ya Gesi Asilia. Hatuna Mkakati (natural gas masterplan) na hatuna sheria ya matumizi ya fedha zinazotokana na mafuta na gesi.

Ndio kwa sasa tunapinga kugawiwa kwa vitalu vipya mpaka tumalize nyaraka hizi muhimu sana kwa nchi yetu. Vile vile tunatakiwa kumaliza ukaguzi wa gharama za utafutaji zinazofanywa na haya makampuni.

Kimsingi ilipaswa kusimama kufanya lolote kwa sasa maana unafanyaje mambo haya bila sera na sheria madhubuti?
 
well saidi Zitto sitaki kukusifia ila kwenye sekta ya gesi tumekurupuka na kuna wakubwa wanafaidika sana kwa sasa , kabla hawajaenda mbali na kujijenga zaidi kwenye hii sekta inabidi tuwakurupue . We have to wake up najua ni kazi sana kumuelewa zitto but he s making a good and open point ukitaka kuelea anachofanya just sit down think you will understand kuwa jamaa kwa nini anapiga makelele. ccm imetuchoka
 
Last edited by a moderator:
Kuna sheria ya utafutaji mafuta ya mwaka 1980 ambayo ina mapungufu makubwa sana. Hatuna Sera ya Gesi Asilia. Hatuna Mkakati (natural gas masterplan) na hatuna sheria ya matumizi ya fedha zinazotokana na mafuta na gesi.

Ndio kwa sasa tunapinga kugawiwa kwa vitalu vipya mpaka tumalize nyaraka hizi muhimu sana kwa nchi yetu. Vile vile tunatakiwa kumaliza ukaguzi wa gharama za utafutaji zinazofanywa na haya makampuni.

Kimsingi ilipaswa kusimama kufanya lolote kwa sasa maana unafanyaje mambo haya bila sera na sheria madhubuti?

kwa nini jambo hili hukuwapelekea wenye nchi kupiti M4C ambao wangeweza kuandamana kutetea maslahi yao, badala yake unajifanya mwanadiplomasia kulitegemea bunge lenye nguvu (ccm) ya kuwashinda hoja zenu (chadema) hata ziwe bora vipi!!!!
 
On sunday

"Some of the agreements are really shoddy and they need to be revoked," noted the minister

On Tuesday


'We are not trying to stop any business. We will not revoke any contract, we will respect all contracts,'
Energy and Minerals Minister Sospeter Muhongo

I said and i repeat, Prof. Muhongo as a CCM Minister is going to do nothing. Tanzania doesnt need reviews of contracts. Tanzania needs a radical approch on Oil and Gas contracts one of which is to legislate that all contracts will be made open and accessible. I have seen some of these contracts. They dont need a review done in board rooms. Once they are made public.................

Review announcement was simply a short term publicity stunt. And here he is. A flip flopper

Mbona wewe kwenye nakala yako dhidi ya waziri ya "Public stunt" waliweka nakala yako yote tukaisoma kuilewa na kutoa maoni na sio kukunakili sentensi moja kama wewe unavyomfanyia huyu Waziri? Huoni kwamba haumtendei haki? Mbona wewe hawakukufanyia hivyo?

Mimi naona wewe unaugomvi binafsi na huyu Waziri, kwa nini unamquote sentensi moja, siutuwekee nakala nzima ili tuweze kuona alikuwa anamaanisha nini?

Ni kama vile maadui wa Irani wanavyosema Raisi wao alisema anataka kuifuta Israel wakachukua kasentensi kamoja kumbe ukisikiliza hotuba nzima hakumaanisha hivyo mimi nina Rafiki Muirani akaniambia Hotuba nzima ya Raisi wao hakumaanisha hivyo, kwa hiyo na wewe tuwekee hapa article nzima zote mbili tusome na kuweka judgement zetu kwamba Waziri alikuwa anamaanisha nini alivyosema hivyo, vinginevyo mimi kwangu naona ni kama alivyosema Lowasa shida ni Uwaziri Mkuu!
 
Sasa kama huelewi maudhui umewezaje kuchangia? Kama huna la kuchangia si lazima kujitokeza kwenye kila mjadala. This is the home of Great Thinkers. Please.

kwa mtazamo mpana zaidi naye kama angekuwa anaweza kuzuia asingetuletea tujadili, sasa anapoleta mjadala kwa baadhi ya jamii ya watanzania linakuwa kosa lilelile la usiri wa baraza la mawaziri, sitaki iwe na taswira ya muungano kuwa na ufichouficho, tujadili kwa kiswahili lugha yetu ya kwanza. Kizungu mbwembwe tu!
 
Kuna sheria ya utafutaji mafuta ya mwaka 1980 ambayo ina mapungufu makubwa sana. Hatuna Sera ya Gesi Asilia. Hatuna Mkakati (natural gas masterplan) na hatuna sheria ya matumizi ya fedha zinazotokana na mafuta na gesi.

Ndio kwa sasa tunapinga kugawiwa kwa vitalu vipya mpaka tumalize nyaraka hizi muhimu sana kwa nchi yetu. Vile vile tunatakiwa kumaliza ukaguzi wa gharama za utafutaji zinazofanywa na haya makampuni.

Kimsingi ilipaswa kusimama kufanya lolote kwa sasa maana unafanyaje mambo haya bila sera na sheria madhubuti?
..Mh.Zitto Na Je endapo Watanzania watakuteua leo uongoze timu ya kuwatengenezea Sera nzuri ya Gesi asilia, unadhani nini vitakuwa vipaumbele vyako vitano katika Sera hio?
 
..Mh.Zitto Na Je endapo Watanzania watakuteua leo uongoze timu ya kuwatengenezea Sera nzuri ya Gesi asilia, unadhani nini vitakuwa vipaumbele vyako vitano katika Sera hio?

Sera haitengenezwi na mtu mmoja. Sera hutengenezwa na wadau wote. Moja tu lipasa kuongoza sera 'kwamba nchi inufaike zaidi ya makampuni katika rasilimali hii ya mafuta na gesi'
 
Mbona wewe kwenye nakala yako dhidi ya waziri ya "Public stunt" waliweka nakala yako yote tukaisoma kuilewa na kutoa maoni na sio kukunakili sentensi moja kama wewe unavyomfanyia huyu Waziri? Huoni kwamba haumtendei haki? Mbona wewe hawakukufanyia hivyo?

Mimi naona wewe unaugomvi binafsi na huyu Waziri, kwa nini unamquote sentensi moja, siutuwekee nakala nzima ili tuweze kuona alikuwa anamaanisha nini?

Ni kama vile maadui wa Irani wanavyosema Raisi wao alisema anataka kuifuta Israel wakachukua kasentensi kamoja kumbe ukisikiliza hotuba nzima hakumaanisha hivyo mimi nina Rafiki Muirani akaniambia Hotuba nzima ya Raisi wao hakumaanisha hivyo, kwa hiyo na wewe tuwekee hapa article nzima zote mbili tusome na kuweka judgement zetu kwamba Waziri alikuwa anamaanisha nini alivyosema hivyo, vinginevyo mimi kwangu naona ni kama alivyosema Lowasa shida ni Uwaziri Mkuu!

Huyu Waziri mimi sigombane naye nini? Sina jambo la kugombana naye. Mimi ni Mbunge wa upinzani na kazi yangu kubwa sana ni kuonyesha kuwa CCM na Mawaziri wake wote hawawezi kuongoza nchi yetu kwa manufaa ya wananchi. Pia sipendi mtu awafanye Watanzania mabwege. Anajua kabisa kwamba hawezi fanya asemacho lakini anasema tu ili kuonyesha kuwa Serikali ya CCM inafanya kazi wakati haifanyi kazi. Hivi ndivyo ilivyokuwa kwenye sekta ya Madini na miaka kumi tukawa tunafanya kazi ya ku review tu lakini dhahabu inasombwa. Hili ndio ninalolikataa
 
Back
Top Bottom