Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
kukutana, kufahamiana na kubadilishana mawazo ni jambo zuri si vibaya pia kwa sisi tunaokaa Dar tukapanga japo siku moja ya week end tukakutana kwa lengo hilo nafikiri tunaweza kufungua ukurasa mpya.. wa kusocialize mambo!
Agree, mi napendekeza tukutane jumapili ya wiki hii.