Mkuu, unajua USA wanavyocheza ni kama ngumu kuelewa wanaweza kushinda, wanaenda kama utani vile...Mnakumbuka kwenye CONCAF ya mwaka juzi, US alimfunga Brazil. Huyu Dunga naona ukocha wake nao unasuasua na wakifungwa leo kibarua chake kitakuwa hatarini.
Mkuu, unajua USA wanavyocheza ni kama ngumu kuelewa wanaweza kushinda, wanaenda kama utani vile...
Anything can happen, ngoja tuangalie. Ila inaonesha Brazil wanaanza kushangaa kinachoendelea, hawakutarajia kufungwa mapema?
Naona Felipe Melo kapata Yellow Card...Hehehe, wametumia resources zao kuwastudy ma-opponents wao. Ila kuna uwezekano wa US kupata kadi nyekundu na wasipoangalia huyu Bocanegra ndio atakuwa victim.
Brazil wakishangaa shangaa watapigwa la pili na ndio itakuwa mwisho.
Ni kweli usa wana kadi za njano 2 na wanashambuliwa lakini wamefunga goli la 2Hehehe, wametumia resources zao kuwastudy ma-opponents wao. Ila kuna uwezekano wa US kupata kadi nyekundu na wasipoangalia huyu Bocanegra ndio atakuwa victim.
Brazil wakishangaa shangaa watapigwa la pili na ndio itakuwa mwisho.
Hapana... Hii ni kali ya 2009 katika soka...
US wanacheza mchezo ambao ni ngumu kuwatabiri mkuu
wewe wasema.Watasawazisha mkuu, lakini wajifunze kuwa kwenye mpira usimdharau yeyote hasa katika finals kama hizi