Chris B. Daniel
Member
- Jul 31, 2012
- 65
- 7
Habari ya hasubuhi wana JF, kwamara ya kwanza nikohapa na nimefurahi sana kua hapa leo.
DHUMUNI
Mimi ni mwandishi,mwongozaji na mwigizaji wa filam ( i.e, majira yote ). Nimekua nikichukua diploma yangu katika chuo kikuu cha Griffith University nchini Australia na sasa nimerejea nyumbani Tanzania. Wakati nipo college nilifanikiwa kuandika filamu 36 ambazo 15 zmekamilika na 21 bado kuandaa directory graph na kati ya filamu. Nimejaribu sana kuangaika hapa na pale tangu nimefika lakini sijapata msaada wowote, imefika kipindi hata vijisenti vyote vinakwisha.
I do believe in changes, like the South Africans and the americans and just whatever are not far from us. Bringing dead ideas to in this country is like bringing the deads to life, scripts za filam nzur znafanya movie iwe nzur pia.
Naitaji msaada wa kila namna ( moral & material support ), naitaji kuingia kwene ushindani mapema before march 2013, naitaji kuwaonesha watanzania kwamba wazungu na sisi hakuna tofauti zaidi ya technologia bt kama filam itaongozwa na director mzoefu who knows how to hold cameras, to indicate angles, a person who knows how to choose actors & actress, how to teach them, control them, direct the be in a movie team audience, kwa huyo lazima filam iwe nzuri.
Naitaji meneja ambaye tutashirikiana ( sio lazima uwemilionare, there are milion ways ambazo zinaweza kutumiwa kuraise fund).
Mawasiliano yangu.
M.P #: +255652823716/753586641
E-mail: christopherbumela@ymail.com
DHUMUNI
Mimi ni mwandishi,mwongozaji na mwigizaji wa filam ( i.e, majira yote ). Nimekua nikichukua diploma yangu katika chuo kikuu cha Griffith University nchini Australia na sasa nimerejea nyumbani Tanzania. Wakati nipo college nilifanikiwa kuandika filamu 36 ambazo 15 zmekamilika na 21 bado kuandaa directory graph na kati ya filamu. Nimejaribu sana kuangaika hapa na pale tangu nimefika lakini sijapata msaada wowote, imefika kipindi hata vijisenti vyote vinakwisha.
I do believe in changes, like the South Africans and the americans and just whatever are not far from us. Bringing dead ideas to in this country is like bringing the deads to life, scripts za filam nzur znafanya movie iwe nzur pia.
Naitaji msaada wa kila namna ( moral & material support ), naitaji kuingia kwene ushindani mapema before march 2013, naitaji kuwaonesha watanzania kwamba wazungu na sisi hakuna tofauti zaidi ya technologia bt kama filam itaongozwa na director mzoefu who knows how to hold cameras, to indicate angles, a person who knows how to choose actors & actress, how to teach them, control them, direct the be in a movie team audience, kwa huyo lazima filam iwe nzuri.
Naitaji meneja ambaye tutashirikiana ( sio lazima uwemilionare, there are milion ways ambazo zinaweza kutumiwa kuraise fund).
Mawasiliano yangu.
M.P #: +255652823716/753586641
E-mail: christopherbumela@ymail.com