Hii mada ya Nyerere imekuwa na mvuto wa wachangiaji wengi sana!Mimi naomba kuuliza swali moja kwa wachangaiji wa mada hii HIVI KWAN NINI NYERERE ALITAKA KUPINDULIWA MWAKA 1982?
jibu gani sasa hili!!? maswali mangapi ambayo wewe ushawahi kujibu hapa wakati kuna wenyewe ambao wangewezwa tafutwa na kuulizwa? kama huna jibu unachuna tu na sio kuleta........ngoja niishie hapo!!.
.....
Ni aibu kubwa kwa vijana wa Kitanzania hakika kufikia kusema hali ya Tanzania ilikuwa sawa na Zimbabwe wakati mwalimu anang'atuka hali mwalimu aliondoka fedha yetu ikiwa na thamani kubwa hivyo mali zetu kuonekana aghali ktk masoko...Uchumi wetu uliporomoka kinyume cha kile kinachotokea Zimbabwe..
jibu gani sasa hili!!? maswali mangapi ambayo wewe ushawahi kujibu hapa wakati kuna wenyewe ambao wangewezwa tafutwa na kuulizwa? kama huna jibu unachuna tu na sio kuleta........ngoja niishie hapo!!.
...........fikra na matendo bega kwa bega, bila matendo fikra zinakuwa maneno mingi na hivyo ni bure tu!!!.
Hadi leo hii tukitazama vitendo vyetu wote dunia nzima basi naweza sema Yesu hakuwa na fikra kwani hakuna mafanikio kabisa zaidi ya watu kuwa na imani JINA. Leo hii vitendo vyetu ni viovu zaidi ya wakati wowote ule ktk mafundisho yake..
..
..Watanzania tuliaminishwa kwamba aliyekuwa akiharibu ni Kawawa na siyo Nyerere.
..
..
NB:
..wasomi wazima tunapumbazwa na maneno matamu, halafu tunashangaa ndugu zetu kule vijijini wanavyoikumbatia CCM.
..Sifa ya kiongozi haipaswi itokane na maneno, au fikra zake. inapaswa itokane na rekodi na matokeo ya utendaji wake.