Fikiria we ndo mtangazaji kati ya mechi ya mkoa Mbeya na Kagera

Viol

JF-Expert Member
Dec 15, 2009
25,426
18,231
Fikiria wewe ni mtangazaji wa mpira.Mechi inayochezwa ni kati ya timu ya mkoa wa Mbeya na timu ya mkoa wa Kagera....hivi ndivyo utakavyoutangaza mpira.
...Anakwenda pale Andendenisye Mwakisomola...anapiga kwake Nsajigwa Malafyale...naye kwake Asangalwisye Mwasabwite....anapiga pasi kwake Anongisye Mwakatebela...anatokea pale Salvatory Rugemalira ananyang'anya mpira...anatoa pasi kwa Bagambilaine Ntuyabaliwe....anacheza vizuri kabisa kwake Kokushobura Rugaimukamu...naye anampa pale Rwekaza Rweyemamu...anacheza vizuri...asalalee namna gani pale ananyang'anywa na Anyosisye Mwakifwamba...anagonga mbili tatu pale anapiga pasi ndeeefu kabisa inakuwa njiwa.... Mpira ni wa kurushwa sasa kuelekea lango la timu ya mkoa wa Mbeya...anakwenda kurusha nani pale...jezi nambari saba pale...haya sasa Rweyongeza Rutashubanyuma anarusha mpira kwake Lutatinisibwa Mutahyabarwa...ancheza daglizi pale...kwake nani sasa...kwake Nyamuhanga Lutabasibwa...anatokea pale Alinanuswe Mwakatapanya anachukua mpira...anatokea Kamugoza Rwegoshora anapigwa tobo pale na Mwakatapanya...anacheza vizuri pale kwake Andendekisye Mwamasangula...anaruka kichwa..hatari pale...gooooooooooooo......bao safi kabisa lile....golikipaChristosom Rwehumbiza alikwenda kushoto....Andendekisye Mwamasangula akapiga kichwa maridadi kabisa kulia...beki wa kati Mutakyawa Mukyanuzi akabaki kushangaa... Mbeya moja na Kagera hawajapata kitu......

Mpira ukiisha lazima unywe dawa ya kutuliza maumivu ya koo.
 
nimeipenda hii mechi, nimejaribu kutangaza hapa kdogo tu mara koo limebuma, ngoja kwanza nipate asali kidogo
 
Mechi tamu sana hiyo, yaani hata kama gemu haitanoga, ila hayo majina yatanogesha gemu.
Kila neno lisilo maana watakalolinena wanadamu, watatoa hesabu yake katika siku ya hukumu.
 
Fikiria wewe ni mtangazaji wa mpira.Mechi inayochezwa ni kati ya timu ya mkoa wa Mbeya na timu ya mkoa wa Kagera....hivi ndivyo utakavyoutangaza mpira.
...Anakwenda pale Andendenisye Mwakisomola...anapiga kwake Nsajigwa Malafyale...naye kwake Asangalwisye Mwasabwite....anapiga pasi kwake Anongisye Mwakatebela...anatokea pale Salvatory Rugemalira ananyang'anya mpira...anatoa pasi kwa Bagambilaine Ntuyabaliwe....anacheza vizuri kabisa kwake Kokushobura Rugaimukamu...naye anampa pale Rwekaza Rweyemamu...anacheza vizuri...asalalee namna gani pale ananyang'anywa na Anyosisye Mwakifwamba...anagonga mbili tatu pale anapiga pasi ndeeefu kabisa inakuwa njiwa.... Mpira ni wa kurushwa sasa kuelekea lango la timu ya mkoa wa Mbeya...anakwenda kurusha nani pale...jezi nambari saba pale...haya sasa Rweyongeza Rutashubanyuma anarusha mpira kwake Lutatinisibwa Mutahyabarwa...ancheza daglizi pale...kwake nani sasa...kwake Nyamuhanga Lutabasibwa...anatokea pale Alinanuswe Mwakatapanya anachukua mpira...anatokea Kamugoza Rwegoshora anapigwa tobo pale na Mwakatapanya...anacheza vizuri pale kwake Andendekisye Mwamasangula...anaruka kichwa..hatari pale...gooooooooooooo......bao safi kabisa lile....golikipaChristosom Rwehumbiza alikwenda kushoto....Andendekisye Mwamasangula akapiga kichwa maridadi kabisa kulia...beki wa kati Mutakyawa Mukyanuzi akabaki kushangaa... Mbeya moja na Kagera hawajapata kitu......

Mpira ukiisha lazima unywe dawa ya kutuliza maumivu ya koo.


Kazi ipo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom