MVUMBUZI
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 5,182
- 2,304
Kamanda na mkuu wa Majeshi ya Misri aliyesimamia vuguvugu la mabadiliko yaliyomwondoa madarakani Hosni Mubarak wa Misri Field Marshal Mohamed Husein Tantawi amefukuzwa kazi na rais mpya wa Misri Mohamed Morsi leo.
Ikumbukwe huyu Tantawi aliunda na kuongoza baraza la kijeshi lililosimamia kuondolewa na hatimaye kumfungulia mashataka rais wa zamani wa Misri na mpaka anafukuzwa alikuwa waziri wa Ulinzi wa Misri.
Tantawi amefukuzwa pamoja na mkuu wa majeshi wa nchi hiyo ;Cheo cha waziri wa Ulinzi amekishilikia kwa kipindi kisichozidi mwezi mmoja.
Tusubiri nini baada ya hii fukuza fukuza kwani tunajua wazi Morsi kamsaliti mtu ambaye alimtengenezea mazingira ya kuwa rais.
Ikumbukwe huyu Tantawi aliunda na kuongoza baraza la kijeshi lililosimamia kuondolewa na hatimaye kumfungulia mashataka rais wa zamani wa Misri na mpaka anafukuzwa alikuwa waziri wa Ulinzi wa Misri.
Tantawi amefukuzwa pamoja na mkuu wa majeshi wa nchi hiyo ;Cheo cha waziri wa Ulinzi amekishilikia kwa kipindi kisichozidi mwezi mmoja.
Tusubiri nini baada ya hii fukuza fukuza kwani tunajua wazi Morsi kamsaliti mtu ambaye alimtengenezea mazingira ya kuwa rais.