Sio Nchi tuu, hata Chama Cha Mapinduzi chenyewe hakitawaliki. Tuliambiwa Gamba - limeshindikana, Tukaambiwa Wajipime Wenyewe - Imeshindikana. Makundi yamepamba moto, sumu wanatiliana na bunduki kuonyeshana. mwaka wa kufa CCM miti yote huteleza
GAmba limekwama kiunoni!! ha ha ha ha !!! by Chenge