Fedha za kusafirisha mizigo na usafiri kwa ajira mpya serikalini

Tricker

Member
Nov 26, 2010
95
25
Nimepata kazi serikalini mwaka huu mwanzoni nimepangiwa kituo mkoani lakini barua yangu ya kuomba kazi ilikua na address ya Dar-es-salaam kwa sababu naishi Dar-es-salaam pamoja na familia yangu
Lakini cha ajabu nilipo report kituoni kazini wakaniambia kwamba kuna waraka (standing order) mpya inasema hakuna malipo ya usafiri (meaning kuamisha mizigo pamoja na familia) wadau hii imekaeje ni kweli hiki kitu kipo au kuna mchezo mchafu unatokea?na kama ni kweli uhalali wake upo wapi?

Wenye mawazo kuhusu hili msaada please.
 
Nimepata kazi serikalini mwaka huu mwanzoni nimepangiwa kituo mkoani lakini barua yangu ya kuomba kazi ilikua na address ya Dar-es-salaam kwa sababu naishi Dar-es-salaam pamoja na familia yangu
Lakini cha ajabu nilipo report kituoni kazini wakaniambia kwamba kuna waraka (standing order) mpya inasema hakuna malipo ya usafiri (meaning kuamisha mizigo pamoja na familia) wadau hii imekaeje ni kweli hiki kitu kipo au kuna mchezo mchafu unatokea?na kama ni kweli uhalali wake upo wapi?

Wenye mawazo kuhusu hili msaada please.

M2 wang hiyo ki2 sahau kabisa.
 
Mtumishi anapoajiriwa na serikali kwa mara ya kwanza atalipwa posho ya kujikimu ya siku saba (7) tu, yeye pamoja na mwenza wake na wategemezi. Hakuna posho ya mizigo kwa first appointment. Posho ya mizigo hulipwa kwa mtumishi anayehama au kustaafu
Suala la uhalali shughulika nalo mwenyewe, nina imani liko ndani ya uwezo wako
 
Nimepata kazi serikalini mwaka huu mwanzoni nimepangiwa kituo mkoani lakini barua yangu ya kuomba kazi ilikua na address ya Dar-es-salaam kwa sababu naishi Dar-es-salaam pamoja na familia yangu
Lakini cha ajabu nilipo report kituoni kazini wakaniambia kwamba kuna waraka (standing order) mpya inasema hakuna malipo ya usafiri (meaning kuamisha mizigo pamoja na familia) wadau hii imekaeje ni kweli hiki kitu kipo au kuna mchezo mchafu unatokea?na kama ni kweli uhalali wake upo wapi?

Wenye mawazo kuhusu hili msaada please.
mkuu kwa nini usiiombe hiyo standing order ujiridhishe!
 
Suala la pesa ya kusafirishia mizigo pamoja na familia sahau kabisa kwani hata ukiomba pia hautalipwa hii ni kwa mujibu wa mabadiliko ya Kanuni za kudumu za utumishi wa umma(2009) ambazo zimefanyiwa marekebisho 2011 tarehe 03 Mwezi 11 Tangazo la Serikali namba 104 (GN 104)Kifungu cha 5.Its final and Conclusive achana na kufikiria hilo suala find another alternative.Hilo ndio jibu sahihi na kwa mujibu wa sheria.
 
Suala la pesa ya kusafirishia mizigo pamoja na familia sahau kabisa kwani hata ukiomba pia hautalipwa hii ni kwa mujibu wa mabadiliko ya Kanuni za kudumu za utumishi wa umma(2009) ambazo zimefanyiwa marekebisho 2011 tarehe 03 Mwezi 11 Tangazo la Serikali namba 104 (GN 104)Kifungu cha 5.Its final and Conclusive achana na kufikiria hilo suala find another alternative.Hilo ndio jibu sahihi na kwa mujibu wa sheria.

Nimekuelewa hapo kwenye bold.Thanx kwa kunifahamisha ingawaje kwakweli inauma sana yani nitoe hela mfukoni kuhamisha mizigo wakati kamshahara kenyewe kadogooo kweli shida mbaya unafanya kitu ambacho hata roho yako haikikubali
 
M2 wang hiyo ki2 sahau kabisa.

Hayajakukuta wewe.Imagine unaamia mkoa ambao hujawai fika hauna ndugu wala rafiki huna sehem ya kuishi zaidi ya guest house ya elf20 kwa siku bado hujala afu unapewa subsistance allowance ya siku7 ambayo hta laki5 haifiki hapo bado hujaanza kutafuta nyumba ya kupanga,ukishapanga uanze kukopa kopa kuanza kuamisha vi TV,KABATI ,FRIJI,MAKOCHI.
NO WONDER SERIKALI INAKOSA WATENDAJI MAKINI MIKOANI NA WILAYANI MANAKE MTU POTENTIAL HAWEZI KWENDA KULE WATAOKOSA KAZI MIKOA MIZURI NDO WATAENDA HUKO MADONGO KUINAMA
 
Mtu kama hujui sheria bora usichangie make watu wanapotosha! Huo waraka anaousema hauko wazi hata ukiwauliza maafisa utumishi hawawezi kuuonesha kwa sababu ni wizi mtupu uliofanyika! Hapo wawli kabla ya mwaka jana ajira mpya alikuwa anapewa posho ya kujikimu kwa siku 14 na sio siku 7 kama ilvyo sasa na alikuwa analipwa mizigo kwa tani tatu na kwa kilometer sasa wameondoa hayo yote lakini huo waraka nakuapia haupo! Ni ujanja tu walimu hawajui haki zao hata wakiibiwa hawajui!
 
Mtu kama hujui sheria bora usichangie make watu wanapotosha! Huo waraka anaousema hauko wazi hata ukiwauliza maafisa utumishi hawawezi kuuonesha kwa sababu ni wizi mtupu uliofanyika! Hapo wawli kabla ya mwaka jana ajira mpya alikuwa anapewa posho ya kujikimu kwa siku 14 na sio siku 7 kama ilvyo sasa na alikuwa analipwa mizigo kwa tani tatu na kwa kilometer sasa wameondoa hayo yote lakini huo waraka nakuapia haupo! Ni ujanja tu walimu hawajui haki zao hata wakiibiwa hawajui!


WEWE B.W.E.G.E SANA YAANI MAELEKEZO YALIYOTOLEWA HAPO JUU KIUFASAHAAA KABISA LAKINI BADO UNAANDIKA PUMBA. SOMA KOMENTI YA MSAGALAM ndo ukweli. hata utoe machozi ya usaha habari ndo iko hivo wewe
 
Dah mkuu pole saana hii serikali imefulia vibaya saaana maana...hizo pesa sidhani hata kama unatapata ukipata inabisi kushukuru. Nimeomba kuhama wizara..wakaniambia nikiandika barua ni seme yakwamba nitahama mwenyewe..iwanasema nikisubiri pesa ya kuhamishwa hawatokubali! Pia watu wamepewa promosheni lakini baada ya muda wanaambiwa waandike barua kuzikataa hizo promosheni kwa sababu serikali haina pesa ya kuwalipa mishahara mipya....hii ichi yetu ila MwanaHALISI ilivumbua juu ya kuchacha kwa Serikali ya CCM Serikali hoi kifedha | Gazeti la MwanaHalisi
Nimepata kazi serikalini mwaka huu mwanzoni nimepangiwa kituo mkoani lakini barua yangu ya kuomba kazi ilikua na address ya Dar-es-salaam kwa sababu naishi Dar-es-salaam pamoja na familia yangu
Lakini cha ajabu nilipo report kituoni kazini wakaniambia kwamba kuna waraka (standing order) mpya inasema hakuna malipo ya usafiri (meaning kuamisha mizigo pamoja na familia) wadau hii imekaeje ni kweli hiki kitu kipo au kuna mchezo mchafu unatokea?na kama ni kweli uhalali wake upo wapi?

Wenye mawazo kuhusu hili msaada please.
 
mhhh mi mbona nilipwa posho ya siku saba pamoja na pesa ya mizigo? n it was 2012. na sio mimi tu wote
tulioajiriwa tulilipwa pesa za mizigo though ilichelewa sana.
 
Duh serikalini mwanzoni kugumu sana!! Ingawa badae mambo yanakuja kukaa level
 
Back
Top Bottom