Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Tena bora mviziaji kuliko gaucho anaesifiwa kwa kuweka mpira pajani na kifuani
Its too pathetic ujinga mtupu
Nikiweka ushabiki mandazi pembeni cr7 kamzidi gaucho mbali sana na sio mafanikio tu pamoja na vitu vingi tu except nidhamu. Sasa anakuja mtu anamcompare na Mfalme mwenye mpira wake. Wabongo bana vichekesho kweli kweli ndiomaana kwenye interview nyingi huwa tunafeli