Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,593
- 6,934
Hakika alichofanya mwamba hakuna anaeweza fanya kama yeye kumbuka goal dhidi Chelsea
Tunaomba statistics mbona hatuelewani ndg!!! Mnampamba sana mkiombwa evidence mnarukaruka
Hakika alichofanya mwamba hakuna anaeweza fanya kama yeye kumbuka goal dhidi Chelsea
Kama statistics zingekuwa ndiyo ubora basi leo tusingekuwa tunasema cab na Inesta ni bora ktk ulimwengu wa sokaNani kaleta chuki?? Kila kitu kinaonyesha Messi yupo juu. Wakati gaucho hata 10 bora hayumo, Na Diego maradona unamzungumziaje?? Maana alikuwa anauchezea mpira zaidi ya gaucho.
- Messi
- Diego
- Pele
- Alfredo de stefano
- Puskas
- Cruyff
- Zidane
- N.k
View attachment 683102
Daaah sad news ,legend anaondoka watamfanyia farewell
Hata siamini aisee sometimes its hard to say Goodbye
Am honestly very sad ,nilikua namuaminia sana akikaa kule nyuma The lion ,beast huyu jamaa moja ya sufa yake kuu ni imani ngumu,hata match iwe ngumu vipi ,vilevile ni undefeated haiwezekani umpite halafu akutazame tu lazima akurambe "ngwala" pia kwenye gym session ndo anaongoza kunyanyua uzito mkubwa
Yaani kwamba hivi, siku hiyo watajuta kwanini first leg walitufunga Mkuu...
Ukimuuliza Messi mwenyewe atakwambia master wake ni nani na huyu ndiyo alimwiintroduce Messi kwa Richkard wakati akiwa haelewani nae vyema kama sikosei alikuwa anakila mtoto wa kocha wake by thenNi hivyo tu!! Aise atasubiri sana. Nashkuru kiongozi atleast wewe umeleta statistics wengine wameona hata aibu kuiweka wazi.
Ukimuuliza Messi mwenyewe atakwambia master wake ni nani na huyu ndiyo alimwiintroduce Messi kwa Richkard wakati akiwa haelewani nae vyema kama sikosei alikuwa anakila mtoto wa kocha wake by then
Nani kaleta chuki?? Kila kitu kinaonyesha Messi yupo juu. Wakati gaucho hata 10 bora hayumo, Na Diego maradona unamzungumziaje?? Maana alikuwa anauchezea mpira zaidi ya gaucho.
- Messi
- Diego
- Pele
- Alfredo de stefano
- Puskas
- Cruyff
- Zidane
- N.k
Sio kweli. Haya maneno ya kwenye kahawa tushayazoea mkuu.[/QUOTE
vipi wewe ndio messi nini? kama yeye mwenyewe anakiri kajifunza vingi kupitia kwake wakati yupo barca B mpaka anampokea team ya wa kubwa na kuanza kukaa nae wewe pimbi wa kishumundu unabishana nae mwenyewe messi