PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,231
- 17,814
....mazezeta ndio kawaida yenu!,nimekuuliza last ten years mmeshinda mara ngapi?,na Barca kashinda mara ngp?, jifunze kuelewa swali zoba
Hakuna mashindano yanaitwa last ten years. Ni Champions League ndio ninaijua Mimi. Tangu yaanzishwe 1992 Ni Real Madrid pekee amebeba 6. Kwahiyo hata Kama hamyataki Yale makombe ya zamani basi hata hili la sasa bado anaongoza tu