Fatma Karume: Hatuna Haki ya Kulalamika Uzawa wa Dr Hussein Mwinyi kwa sababu amezaliwa Zanzibar

Tufafanulie. Unamaanisha huyu Mwinyi (Ali Hassan) alizaliwa miaka ya 1800?
Pia historia inatuambia Mwinyi alizaliwa Kivure, Mkuranga mkoa wa Pwani huku Tanganyika.
Hapo juu kuna mdau amesema katiba ya Zanzibar inatamka anayekidhi kuwa rais wa Zanzibar lazima awe mZanzibar kwa kuzaliwa. Kama hivyo ndivyo, je, ilikuwa halali Mwinyi kuwa rais wa Zanzibar?
Hussein Mwinyi: huyu aliwahi kuwa mbunge wa Mkuranga- je, ni mzaliwa wa Mkuranga? (ie ni mzaliwa wa bara/Tanganyika?) au ni mzaliwa wa Zanzibar?
Twende mdogo mdogo; Hussein alizaliwa Mwaka gani na wakati huo baba yake alikuwa wapi na anafanya Nini? Haya yakijibiwa Kwa usahihi tutajua ukweli
 
sasa kama baba alipora uzawa kizazi kitakua na haki gani ya uzawa? ni tabia ya ccm kutoka bara kuwachagulia wazanzibar rais, Zanzibar ilikuwa nchi huru, uhuru ulipatikana kwa mapinduzi kama vile Tanganyika hakuna mkubwa na mdogo.

Hii anayoongelea shangazi ni siasa tu lakini wazanzibari wamechoshwa na huo mfumo, ndio maana rais kwenye jukwaa anashindwa kuitetea nchi ya zanzibar hana mapenzi wala utashi wowote kwa sababu anajua si pao. Wazanzibar wenyewe wanadai Zanzibar yao lakini juu hakuna anayeumwa ni Zanzibar.
Utakuwa popoma wa kiwango Cha juu kutamaka maneno haya. Wazanzibari hamna akili. Hivi Kuna Raisi anaeijrnga Zanzibar kuliko Hussein. Anachokifanya Ina maana hamkioni?
 
Kwani katiba ya Tanzania inaruhusu raisi ambae si mzawa wa Tanzania? Ukitaka usitake Zanzibar ni nchi na ina serikali yake, bunge na rais wake. Wanahaki kama nchi nyengine kuruhusu wazawa tu kuwa kushika wadhifa wa uraisi.
Na Hussein ni mzawa
 
Uzawa wa Hussein Mwinyi unatiliwa wasi wasi sana huko Zanzibar. Hakuna anaemjua au kumkumbuka Hussein huko anakodai amezaliwa, hakuna ushahidi wowote ule kuthibitisha kuwa alizaliwa zanzibar. Na kama bashite hakuna alieiona birth certificate yake.
Mwaka 1966 Mwinyi alikuwa wapi na akifanya Nini?
 
Utakuwa popoma wa kiwango Cha juu kutamaka maneno haya. Wazanzibari hamna akili. Hivi Kuna Raisi anaeijrnga Zanzibar kuliko Hussein. Anachokifanya Ina maana hamkioni?
Miradi yote ukihoji kuhusu tenda zimepatikanaje na aliyepewa kufanya ni giza nene., ni vile kama unakula na kipofu lakini wazanzibar washashtuka sana 2025 ndio majibu labda mkakodi tena mamluki kutoka rwanda na burundi
 
sasa kama baba alipora uzawa kizazi kitakua na haki gani ya uzawa? ni tabia ya ccm kutoka bara kuwachagulia wazanzibar rais, Zanzibar ilikuwa nchi huru, uhuru ulipatikana kwa mapinduzi kama vile Tanganyika hakuna mkubwa na mdogo.

Hii anayoongelea shangazi ni siasa tu lakini wazanzibari wamechoshwa na huo mfumo, ndio maana rais kwenye jukwaa anashindwa kuitetea nchi ya zanzibar hana mapenzi wala utashi wowote kwa sababu anajua si pao. Wazanzibar wenyewe wanadai Zanzibar yao lakini juu hakuna anayeumwa ni Zanzibar.
Je unaijua vizuri historia, na asili ya hayati mzee Abeid Amani Karume?

Ni vigumu kumpata raisi mwenye asili ya kweli ya Zanzibar, maana makabila ya wazanzibar yalitokea katika nchi za bara na kuingia visiwani humo kwa njia za majahazi na mitumbo. Kuna wamatumbi, wandengereko, wamwela, wamanyema, wamakonde nk.

Ukisoma historia ya visiwa vyote duniani, utakuta raia wote wa visiwa hivyo walitokea katika nchi za bara hasa zile zilizo karibu na visiwa hivyo. Hata waingereza ni jamii ya "Germanic", walitoka Ujerumani na kwenda kuanzisha utaifa katika visiwa vya uingereza maelfu ya miaka iliyopita.

Kasome historia ya visiwa utaelewa.
 
Wazanzibari wanahangaika sana utasema hivyo visiwa mtu ukikaa hapo hufi.
👇
Je unaijua vizuri historia, na asili ya hayati mzee Abeid Amani Karume?

Ni vigumu kumpata raisi mwenye asili ya kweli ya Zanzibar, maana makabila ya wazanzibar yalitokea katika nchi za bara na kuingia visiwani humo kwa njia za majahazi na mitumbo. Kuna wamatumbi, wandengereko, wamwela, wamanyema, wamakonde nk.

Ukisoma historia ya visiwa vyote duniani, utakuta raia wote wa visiwa hivyo walitokea katika nchi za bara hasa zile zilizo karibu na visiwa hivyo. Hata waingereza ni jamii ya "Germanic", walitoka Ujerumani na kwenda kuanzisha utaifa katika visiwa vya uingereza maelfu ya miaka iliyopita.

Kasome historia ya visiwa utaelewa.
 
No No No! sema sawa sawa Mtanzania (ambae si mzanzibari) amepelekwa kutawala Zanzibar. Mzanzibari (ambae ni Mtanzania) amepelekwa Tanzania kutawala. Umeona tafauti hapo? Mtanzania ambae si mzaliwa wa NCHI ya zanzibar anatawala Zanzibar, Mzanzibari ambae NI mzaliwa wa NCI ya Tanzania anatawala Tanzania. Mmoja ana haki ya kutawala anapotawala kikatiba na mmoja hana haki kutawal anapotawala kikatiba.
Unaelewa maana, au kirefu cha neno Tanzania?
Au umeandika tu ili na wewe uonekane kuwa ni mchambuzi, huku ukiwa haujui lolote katika uchambuzi?
 
Halafu hawa watu na kinchi chao kidogo kama doti wanachokochoko sana. Mkuu wa Wilaya moja ya Tanzania bara anatawala eneo kubwa kuliko raisi wa Zanzibar 🤔
 
Miradi yote ukihoji kuhusu tenda zimepatikanaje na aliyepewa kufanya ni giza nene., ni vile kama unakula na kipofu lakini wazanzibar washashtuka sana 2025 ndio majibu labda mkakodi tena mamluki kutoka rwanda na burundi
Wewe utakuwa ni wale waarab ambao mmepinduliwa na wazanzibar weusi waliokataa kuendelea kufanywa watumwa na waarab katika ardhi yao wenyewe. Sasa mnajaribu kutaka kurudi katika madara yenu lakini mnashindwa kutokana na nguvu ya serikali ya Muungano.

Njia mnayofanya ni kujaribu kuwahadaa wazanzibar wasiokuwa na elimu ili wapambane kudai Zanzibar huru, na ikishakuwa huru, sultan jamshid na genge lake warudi tena kuichukua nchi na kuitawala kwa mkono wa chuma.
 
Hata kama angezikiwa mkuranga au marekani ni yale yale tu, utakutana na malaika kaburini, Allah amjaalie Qauli thabit ndugu yetu na mzee wetu Ally Hassan Mwinyi.

Uislamu hatuna mambo mengi, isipokua kuna wachache wasio na elimu ya dini kabla ya kuamua jambo wasilo na elimunalo waulize kwa masheikh, tusiwe kama upande wa pili.
 
Wewe utakuwa ni wale waarab ambao mmepinduliwa na wazanzibar weusi waliokataa kuendelea kufanywa watumwa na waarab katika ardhi yao wenyewe. Sasa mnajaribu kutaka kurudi katika madara yenu lakini mnashindwa kutokana na nguvu ya serikali ya Muungano.

Njia mnayofanya ni kujaribu kuwahadaa wazanzibar wasiokuwa na elimu ili wapambane kudai Zanzibar huru, na ikishakuwa huru, sultan jamshid na genge lake warudi tena kuichukua nchi na kuitawala kwa mkono wa chuma.

Acha kufananisha waarabu na wakoloni wa kikafiri au makafiri weusi waliouwa waislamu ndani ya revolution, waarabu/waislamu walikukera nini wewe? Au chuki zinakutesa! Tena muungano ukivunjwa itakua safi na mtakosa cha kuongea
 
Je unaijua vizuri historia, na asili ya hayati mzee Abeid Amani Karume?

Ni vigumu kumpata raisi mwenye asili ya kweli ya Zanzibar, maana makabila ya wazanzibar yalitokea katika nchi za bara na kuingia visiwani humo kwa njia za majahazi na mitumbo. Kuna wamatumbi, wandengereko, wamwela, wamanyema, wamakonde nk.

Ukisoma historia ya visiwa vyote duniani, utakuta raia wote wa visiwa hivyo walitokea katika nchi za bara hasa zile zilizo karibu na visiwa hivyo. Hata waingereza ni jamii ya "Germanic", walitoka Ujerumani na kwenda kuanzisha utaifa katika visiwa vya uingereza maelfu ya miaka iliyopita.

Kasome historia ya visiwa utaelewa.
wewe ni juha sana, kwa vile historia ilianzia hivyo watu kuhama hama inamaana Jakaya kikwete anaweza kuwa rais wa Kenya ama burundi?

Zanzibar ni nchi huru ilipindua kutoka kwa sultan na kupata taifa huru na kuwa na watu wake kikatiba hivyo kutoka mtu tanganyika akaenda kuwa rais wa Zanzibar ni ukoloni wazanzibar wana kila sababu kudai zanzibar yao bado imetawaliwa ni wakoloni weusi tanganyika
 
Unaelewa maana, au kirefu cha neno Tanzania?
Au umeandika tu ili na wewe uonekane kuwa ni mchambuzi, huku ukiwa haujui lolote katika uchambuzi?
Ama kweli ulimsemo ukimnyoshea mtu kidole ..... uko sahihi sana! Naelewa sana maana ya neno tanzania, ila naona wewe ndie huelewi maana ya Zanzibar. Kwa taarifa yako tu Tan(nganyika) na Zan(zibar) ndio Tanzania. Ila toka baada ya muungano Tanganyika haikuwepo tena. Zanzibar ipo pale pale. Sasa weka akili yako vizuri nikueleimishe. Zanzibar imebaki kuwa ni nchi, ina raisi wake , ina mawaziri wake, lipo bunge (baraza la wawakilishi) lake, katiba yake, bendera yake na hata wimbo wa Taifa lake. Tanganyika haina hayo, hakuna nchi inayoitwa Tanganyika! Ipo nchi inayoitwa zanzibar. Au wewe mwenzangu unamjua raisi wa sasa wa tanganyika? Bunge la tanganyika? etc etc?

Elimika na ujue kuwa kila mzanzibari ni mtanzania lakini sio kila mtanzania ni mzanzibari. Hii ndio maana wazanzibari wana vitambulisho vya Uzanzibari na pia wana vitambulisho vya utanzania. Wewe ndugu yangu kiko wapi kitambulisho cha uraia wako wa tanganyika? Huna! Kwa sababu Nyerere aliamua hakuna haja ya kuwepo na utanganyika!!! Kuna katiba ya Tanzania na kuna katiba ya Zanzibar!

Sasa wewe kaa ukatae na kupiga kelele mpaka uchoke ila ukweli umebaki pale pale Zanzibar ni nchi na sio kila mtanzania ana haki za uzanzibari anapokwenda visiwani, wakati mzanzibari ana haki sawa na mtanzania bara anapokwenda bara. Mfano mzuri ni kuwa mzanzibari ana haki ya kwenda Tanzania bara na kununua ardhi kwa sababu ni yeye ni mtanzania ila mtanzania bara hawezi kwenda zanzibar na kununua ardhi kwa sababu yeye si mzanzibari.

Mwisho nadhani utaweza sasa kunifahamu ninaposema kuwa sio kila mtanzania, kwa sheria za nchi ya Zanzibar, anaweza kuwa raisi wa zanzibar. Suali la kuwa ni fair au sio fair ni suali jengine lakini huo ndio ukweli wa mambo. Kwa nini ni hivi? Bahati mbaya Nyerere hakutaka kuwepo kwa serikali tatu!!! Jiulize ni kwa nini wageni wanapowasili tanzania bara kwanza na wakiamua kutembelea Zanzibar ni lazima wapitie uhamiaji wanapowasili Zanzibar wakati ikiwa wamewasilia tanzania visiwani kwanza na wakiamua kuetembelea bara hawatakiwi kupitia uhamiaji wanapowaili bara?

Nasubiri uchambuzi wako.
 
Mwaka 1966 Mwinyi alikuwa wapi na akifanya Nini?
Tanzania ni moja ya nchi ambazo hazimpi mtoto uraia wa kuzaliwa mtoto aliezaliwa nchini na wazazi ambao si raia wa wa nchi (Tanzania). Kwa mantiki hio hio nchi ya Zanzibar haimpi mtoto uraia kwa kuzaliwa nchini zanzibar na wazazi ambao sio wazanzibari. Kukujibu suali lako marehemu Mwinyi si mzanzibari na it doesnt matter alikuwa wapi na akifanya nini Hussein hawi mzanzibari.
 
Back
Top Bottom