Serikali kupitia SSRA wanataka kulazimisha na kudhulumu haki za wafanyakazi. SSRA na Serikali ya CHAMA CHA MAPINDUZI chini ya JPM (aka mtetezi wa wanyonge) wanataka kusitisha FAO la Kujitoa.
Kumbuka 90% ya wafanyakazi ni masikini na hawana nyumba za kuishi....SSRA wameshindwa kusaidia wafanyakazi ambao ni wanachama wa PPF Na NSSF kupata mikopo ili wanunue nyumba nafuu NHC au WHC au wanunue viwanja wajenge....
NSSF wanasema wanatoa mikopo, ila hii ni hila tu maana Masharti ya mkopo ni magumu sana na NSSF wanataka masharti magumu kama dhamana za benki.
Kama mtu ana akima kama millioni 20, kwa nini akima yake isiwe dhamana na apate mkopo kama millioni kumi, ili mtu anunue kiwanja na mtu akajenga?
Masharti eti mtu umeachishwa kazi au mkataba umeisha ukiwa na miaka 35..utakaaje ungoje mpaka miaka 55 ustaafu...Kodi ya nyumba nani atalipa?
Afya duni?
Hata hao wachache watakaostaafu na miaka 60, je ataishi hapo miaka 5? akifa mke na watoto watapewa hiyo Pension? NOOOOO
Rais wetu ni msema kweli (mpenzi wa Mungu) na mtetezi wa wanyonge..Je uchaguzi wa 2020, atawaambia nini watanzania kwenye hii dhuluma?
Kila siku tunasikia ufisadi NSSF, mara trillions serikali inadaiwa, mara posho za wafanyakazi nssf billion 10.... a lot....
Ila mwanachama wa PPF au NSSF kupata mkopo walau nusu ya amana, ni dhambi?
Hali halisi mtaani ni kilio tu maana, wafanyakazi wana hasira..
TUCTA, Twico, wote ni hewa, wako kimya
Kumbuka 90% ya wafanyakazi ni masikini na hawana nyumba za kuishi....SSRA wameshindwa kusaidia wafanyakazi ambao ni wanachama wa PPF Na NSSF kupata mikopo ili wanunue nyumba nafuu NHC au WHC au wanunue viwanja wajenge....
NSSF wanasema wanatoa mikopo, ila hii ni hila tu maana Masharti ya mkopo ni magumu sana na NSSF wanataka masharti magumu kama dhamana za benki.
Kama mtu ana akima kama millioni 20, kwa nini akima yake isiwe dhamana na apate mkopo kama millioni kumi, ili mtu anunue kiwanja na mtu akajenga?
Masharti eti mtu umeachishwa kazi au mkataba umeisha ukiwa na miaka 35..utakaaje ungoje mpaka miaka 55 ustaafu...Kodi ya nyumba nani atalipa?
Afya duni?
Hata hao wachache watakaostaafu na miaka 60, je ataishi hapo miaka 5? akifa mke na watoto watapewa hiyo Pension? NOOOOO
Rais wetu ni msema kweli (mpenzi wa Mungu) na mtetezi wa wanyonge..Je uchaguzi wa 2020, atawaambia nini watanzania kwenye hii dhuluma?
Kila siku tunasikia ufisadi NSSF, mara trillions serikali inadaiwa, mara posho za wafanyakazi nssf billion 10.... a lot....
Ila mwanachama wa PPF au NSSF kupata mkopo walau nusu ya amana, ni dhambi?
Hali halisi mtaani ni kilio tu maana, wafanyakazi wana hasira..
TUCTA, Twico, wote ni hewa, wako kimya