Ndallo
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 7,619
- 4,292
- Thread starter
- #21
Swala hapa siyo Mama Maria alivaa nini. Watu wanaenda mbali zaidi ya mavazi, wanaangalia mahusiano na timu ya CDM, ujue siku hiyo hawakuishia kuweka mashada peke yake, kuna mazungumzo yalifanyika hata kama ni ya dk 10, lakini mwenye akili inatosha kumsoma mtu na kujua kama ana msimamo gani.
Nadhani waliokuwa kwenye hiyo ziara wanajua vizuri. Sasa kwa akili yako ulitegemea yule mama avae combati za CDM??!!
Asante Mkuu maongezi yenyewe ya faragha ni kama haya hapa: