Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
Hamna shida/tabu ... huwa nadhani kila mtu ni msukuma! Pole
Annina
asante kwa uafafnuzi,
unajua mimi ni mzito kidogo kujifunza lugha za wengine, nimeishi na wasukuma kitambo fulani lakini huwezi kuamini, hata salamu naumauma maneno!
sasa itabidi niongeze bidii ktk kujifunza kisukuma. just 4 you dear