Falsafa ya CHADEMA ni hii, ya CCM iko wapi?

Haihitaji kuingia darasani ili kuwachana kiukweli hawajielewi kabisa hawa NYINYIEM na siyo CCM:A S shade:
 
Haihitaji kuingia darasani ili kuwachana kiukweli hawajielewi kabisa hawa NYINYIEM na siyo CCM:A S shade:

Peter Drucker famously stated that "management is doing things right; leadership is doing the right things." Great leaders possess dazzling social intelligence, a zest for change, and above all, vision that allows them to set their sights on the "things" that truly merit attention. Not a bad skill set for the rest of us, either.
 
MAADILI ya uongozi ni mwenendo au tabia njema inayokubalika na jamii katika kazi ya kuongoza. Kwa kuwa uongozi ni kazi ya kuwaelekeza watu kwenye kujiletea maendeleo yao kwa utashi wa uhuru, haki na usawa; viongozi lazima wazingatie maadili ya uongozi yanayokubaliana na utashi wa utu, heshima ya binadamu na usawa katika matumizi ya rasilimali za nchi katika kufikia malengo ya ujenzi wa jamii ya watu waliyo sawa na huru.
 
unapaswa kuwa umekufa au haujawahi kuishi Tanzania ndio uwe hauifahamu Falsa ya CCM, maana hata ukilitaja jina hili kwa kirefu utapata majibu.

jamani tuache ushabiki tupeane elimu. Wenzenu wameweka falsafa yao. Kwa nini ninyi CCM nanyi msiweke falsafa yenu kama ipo?. Kwa nini badala ya kujibu kwa kuweka kinachotakiwa mnapeleka kwenye matusi. Tafadhari CCM tunasubili falsafa yenu kama ipo baada ya UJAMAA KUFA kwa azimio la Zanzibar.
 
jamani tuache ushabiki tupeane elimu. Wenzenu wameweka falsafa yao. Kwa nini ninyi CCM nanyi msiweke falsafa yenu kama ipo?. Kwa nini badala ya kujibu kwa kuweka kinachotakiwa mnapeleka kwenye matusi. Tafadhari CCM tunasubili falsafa yenu kama ipo baada ya UJAMAA KUFA kwa azimio la Zanzibar.

Kama hii haitakuwa tusi basi jibu ni kuwa CCM haina falsafa, ila imetawala Tanzania toka imeanzishwa ikiwemo na miaka ishirini tangu CDM imeanzishwa.
 
Kama hii haitakuwa tusi basi jibu ni kuwa CCM haina falsafa, ila imetawala Tanzania toka imeanzishwa ikiwemo na miaka ishirini tangu CDM imeanzishwa.
Ina maana inatawala hovyohovyo bila falsafa? basi Kolimba alikuwa na issue kubwa aliposema haina tena dira.
 
Ukichunguza mambo yanavyoenda bila shaka utaona chama tawala hakina falsafa ndiyo maana mambo yanaenda hovyo.Wanabaki kutapatapa tu kwa kukashfu upinzani.
 
Mboana sipati jibu mpaka leo?
Jibu linalotakiwa wakilisoma wao wanakubambikiza kosa la mtandao ... kiukweli ndivyo hivyo unavyojua kwamba tupo kwenye safari isiyojulikana ..

Msanii kawaeleza lakini hawataki kuelewa ... "Mtu hawezi kupotea wakati hajui anakokwenda"

Kila baada ya miaka 10 tunaanza upya, na sasa tumefikia pabaya!
 
Back
Top Bottom