LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Hakika nawaambia ya kwmb km MS,FF na ritz kama wako hapa Mi nawaambia nawasimamisha ktk mada zao na Mpende msipende, Hbr ndiyo hiyo.Hivi kuna ugumu upi hapo, huyo hata CCM yenyewe hana kadi ya uanachama, usifanye maskhara wewe, "eti" mtoto wa waziri, ndio nini? watu wameona mtoto wa Rais hayupo CCM na wala hawakustuka itakuwa waziri? Unanchekesha!