Hili ndilo tatizo kubwa la hawa vibaraka wa CCM kama Faizafoxy, Malariasugu na wenzao. Wanakimbilia kwenye ukabila mara tu wanapobanwa kwenye hoja nzito.Hiyo ndio CCM tunaojivunia Tanzania, unakwenda unakopenda, ndio demokrasia, hata Mbowe babake na Mkwewe si walikuwa Serikalini?
Ngoja tumtafute waziri mchaga ni yupi kwa sasa tutamjuwa baba'ko.
sidhani kama ni uamuzi mzuri kuondoka CCM.kwa mtazamo wangu nadhani mapambano mazuri ya kuwaondoa viongozi wasiofaa yataanzia ndani ya chama chenyewe hasa ktk mchakato wa kura za maoni.Ilipofikia CCM sasa hivi si rahisi kuachia madaraka kwa upinzani kwani wanajua kuwa viongozi wengi wataishia jela.
Nashauri vijana wengi wajiunge CCM mapema ili kuleta mabadiliko ndani ya chama sivyo utawala wa kurithishana ndani ya ccm utaendelea milele.