Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
[h=6]SAMAHANI SINA NIA YA KUANDIKA LUGHA CHAFU ILA HII NILIISIKIA NIKASHANGAA. Jamaa mmoja alikuwa anasema eti kwenye mpira huwa wachezaji wanabadilishana jezi baada ya mechi kama ishara ya fair play. Je kwako wewe hapo ungekuwa kila ufanyapo mapenzi mnabadilishana chupi kuonesha fair play, hadi sasa ungekuwa na chupi ngapi za watu???? hahahah hahaaaa mm cjui. Naomba kuwasilisha hoja!!![/h]