Mie nashauri wakati wa majamboziii na mwenzio inabidi mfunganishe chupi zenu ili kuonyesha solidarity/mshikamano baina yenu! Limekaaje hili wajameni? Ni ushauri tu jamani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ikiwa footballer hubadilishana jezi baada ya Mechi kuashiria FAIR PLAY,JE? Ni kwa nini wazinzi nao wasibadilishane chupi baada ya ngono? Je wewe ungekuwa na chupi ngapi za kike au za kiume.(NI MTAZAMO TU ).