Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,329
- 33,139
SIRI YA TENDE KWA AKINA MAMA WAJAWAZITO
NINATOA FAIDA KWA WENYE MIMBA YA MIEZI 8.
Kwa wale akina dada zangu wenye Mimba aka Uja uzito wa miezi 8 pendeleeni kula Tende japo kwa siku Tende 6 muendelee kula hizo Tende mpaka wakati wa kujifunguwa.Tende zitawasaidieni wakati wa kujifunguwa mutajifunguwa bila ya kufanya Operesheni. Mutajifunguwa salama Nimewapeni zawadi toka kwangu hiyo.Tumieni kisha muje munipe Feedback.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169