ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,398
Mgogoro wa, Israel na Palestine Una faida kwa taifa la Misri. Ukweli ni kwamba Misri ana mkataba wa kutoingilia huo mgogoro na anapata billions of dollars kama hongo from USA.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.
Ndiyo maana huoni Misri akihangaika sana na huo mgogoro. Kufa kufaana.
Kwa wale wenye maswali kwa nini Misri ananyamaza kimya kwenye mgogoro, huo hapo ndiyo ukweli. Watu wanaangalia maslahi.