Faida na hasara za kusafiri mikoani na mabasi ya usiku

Mi mwenyewe nimejikuta nimependa safari za usiku, japo kabla nilikua naziogopa. Juzi nimetoka Dsm kwenda Dodoma. Nilipoingia tu kwenye gari niliuchapa usingizi kituo cha kwanza nashtuka Moro. Nikalala tena kuja kushtuka saa 12 nipo Dodoma.
 
Igweee!

Ninawasalimu kwa jina la JMT! Leo nimepata wasaa wa kusafiri usiku kutoka mkoa x kuja y kwa takriban masaa 10 kuanzia 2000hrs to 0730hrs.

Ni usafiri wa kawaida wanaita luxury bus, so hakuna chochote za ziada nilicho experience.

Kwa kuwa ni mara yangu ya 1, nimeona baaddhi ya interesting facts nishee na wewe mpenz msomaji.

Faida za mabus ya usiku

1. Unasave time ya kazi, kama uko busy saba na kazi za mchana unaweza safiri na mchana ukawa unaendelea na kazi zako. Au kama wewe ni mtori wa kazini (waajiriwa) hapo ndiyo umefika.

2. Unasave usumbufu wa kulala lodge, yani usiku balada ya kulalia kitanda unalala kwa kiti (inahitaji moyo sana🤔), maana unalala next to a stranger, na ukute anakoroma, au anajamber jamber dah😆

3. Wasafiri wa usiku siyo watu wa story, kila mtu kivyake; yani hakuna kusemeshana au kupiga story kama zile za mchana unatamani mtu asishuke aendelee kusema nawe. Huku kwa wapenda utulivu baasi umefika, kuna ‘kiustaarabu flani hivi’.

4. Kama wewe ni muoga wa barabara, kuona mabonde na milima baasi usiku unasafiri muruwaa bila kuona hatari za nje.

5. Wauzaji wa vitu kusumbua madirishani ni wachache sana, hupati usumbufu.

6. Unsave nauli ya kufika kituo cha stand, kunakua mchana au usiku ambao siyo mkali wakati wa kutoka home.

7. Kwa wachepukaji wao ni rahisi sana kuexcuse na kusafiri kwa kutumia usafiri wa usiku.. (Mshana Jr ) atanisaidia hapa na kutongozana kwenye gari inakua rahisi kwa kuwa kuna factor favourable (usingizi, kuchoka etc) na uko next na mrembo😀😀

HASARA

1. Kupoteza vifaa ni rahisi kwani wizi na udokozi unakua rahisi sana
2. Gari ikiharibika njiani ndiyo itakuwa halelujah
3. Kufika umechoka na kuhitaji kulala tena ili kuanza next day vzr
4. Mauza uza usiku njiani, madereva wanajua hii; usiku kuna vimbwanga vingi zaidi ya mchana

Huu ni uzoefu wangu kwa ufupi.

Nahisi hapo penye jiwe ni Mwanza, kama vile ni Nyashishi au Kishiri, ila sina uhakika.
 
Mi mwenyewe nimejikuta nimependa safari za usiku, japo kabla nilikua naziogopa. Juzi nimetoka Dsm kwenda Dodoma. Nilipoingia tu kwenye gari niliuchapa usingizi kituo cha kwanza nashtuka Moro. Nikalala tena kuja kushtuka saa 12 nipo Dodoma.
Ulikuwa umekunywa nini! Mimi nilikuwa nimekunywa nikalala kabisa siti ya nyuma kuanzia Manyoni hadi Mbezi.
 
Tatizo madereva kusinzia kwenye sterling

Hii ndio risk kubwa mabasi ya usiku
Madereva wa usiku ujue baada ya kufika wanalala mchana, kama ambavyo wewe msafiri wa usiku ukifika home lazima ulale. Kumbuka binadamu anaweza kutokula kwa siku mbili (akashindia maji) bila shida yoyote lakini hawezi kukaa siku 2 bila kulala...
 
Binafsi hata iwaje siwezi kuqnza safari usiku. Yaani nishuke kitonga au kule nyong'oro usiku kwa ajili ya nini hasa. Risk ni nyingi sana kutembea usiku
Usipende kujiapiza, dunia inazunguka hii na kuna siku utajikuta penda usipende umesafiri usiku, iwe ni kwa matatizo, kikazi au kibiashara.
 
Kwa wachepukaji wao ni rahisi sana kuexcuse na kusafiri kwa kutumia usafiri wa usiku.. (@Mshana Jr ) atanisaidia hapa na kutongozana kwenye gari inakua rahisi kwa kuwa kuna factor favourable (usingizi, kuchoka etc) na uko next na mrembo
Hii sio faida ni hasara😅 mtumiaji fursa anaweza kuiona ni faida ila side effects ambazo ni negative ni kubwa zaidi.
1: hilo la lodge litarudi pale pale
2: Gharama ya kumhudumia ikiwemo chakula n.k . Watu wa kukutana mara moja huwa wanatumia hela sana ke anaona ni fursa kula vizuri, me anataka kuonesha uwezo ili asikose anachotaka
3: Hati Hati kupata maradhi ,regard wamekutana usiku hawajuani
4: kwa wanaoamini ulimwengu wa kiroho hili ni dhambi hivyo hajapata faida bali hasara
 
Nilichogundua kwako mleta uzi unapenda story sana, mimi kati ya vitu na hate ni kuongea na stranger, nikiingia kwa gari abiria next seat namsalimia basi inatosha.
Upo km mie yaan, nikiweka zangu nasikiliza sitaki habari na mtu kabisaa.
 
Jumamosi Iliyopita nimesafiri na Royal Express Chuga Dar nikabahatika kukaa na Mtoto Nancy mzuri sana safari ya furaha Usiku tunaingia Dsm Asubuhi Jpili.

Hapa Nakaribia kuingia Chuga kutokea Dsm nimeburudika na Mtoto Tab mzuri sana tuu nimeenjoy kisses..
Ungekaa siti na mwamba alale akukoromee
 
Kuna kibinti kilikua kinaenda Singapore sijui Greece nikajikuta niko nacho siti mbanano.
Aisee usiku wa safari ulikua mtamu sana.
Nilikua nakibandua tu humo njiani km nimeoa.
Watu wote wamelala
Ulipiga peku peku? Hatari sana
Nakukumbuka miaka ile Moshi tumefunga chuo, niko stendi narudi home niliulizwa kama nataka niongeze nauli ili wanikatie tiketi ya kukaa na demu bomba, kumbe haitokei kibahati inapangwa hii
serious??
 
Back
Top Bottom