kauli aloitoa Jussa si maneno yake bali ni maneno ya Cleopa Msuya mwaka 1995 aliposema CUF watashinda maeneo ya mjini tu ambako kuna waarabu wengi (alimaanisha waislamu).
Kwa mjua maana hujua maana (hayo yalikua majibu kwa CCM; kwa ambavyo nimemfahamu mimi)
Ni maneno ya kupiga kijembe kwa anayefahamu maana.:lol:
Kwa mjua maana hujua maana (hayo yalikua majibu kwa CCM; kwa ambavyo nimemfahamu mimi)
Ni maneno ya kupiga kijembe kwa anayefahamu maana.:lol: