Hakuna hata muislamu mmoja? Ahaa Chademaa watakuja na maneno hayo sasa
Seconded!!
Tumeangukia kwenye udini kiasi kwamba sasa majina ya kibantu yanaonekana ni ya kikristo.... Hatari sana hii!!
Kuna kijana nilisoma naye alikuwa anaitwa Jackson John. Siku zote nlikuwa najua ni mkristo mpaka nilipokutana naye kipindi cha mfungo wa ramadhani ndipo nikagundua kumbe ni mwislamu tena wa swala tano!!
Waislamu huwa wanafika chuo kikuu? Elimu ya madrasa ipo mpaka chuo kikuu
Hakuna hata muislamu mmoja? Ahaa Chademaa watakuja na maneno hayo sasa
Haya ndio majibu ya Pro-Chadema JF dhidi ya Waislam...tunashukuru tutakutana mwaka 2015 kwenye box la kura na chama chenu.
Na wakiambiwa waislamu nchi hii ni 32% wanang'aka!
Unaona umeandiiiika kweli kuisafisha CDM kwenye kadhia hii. Lakini umesahau hapo kwenye udini. By the way mbona wote ni wadini moja?
Na wakiambiwa waislamu nchi hii ni 32% wanang'aka!
Chuo Kikuu MZUMBE
- Mwenyekiti ni Roda Edward
- Katibu ni Bariki Mwakibete
Chuo Kikuu cha UDOM
- Mwenyekiti ni Nchimbi Method
- Katibu ni Malale Sende
Chuo Kikuu cha Mwenge
- Mwenyekiti ni Abel Dendwa
Chuo Kikuu cha SAUT
- Mwenyekiti ni Patrobas Paschal
- Katibu ni Makoko Obadia
Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT)
- Mwenyekiti ni Paul Ndeje
- Katibu ni Masuala Masaga
Chuo Kikuu cha Mtakatifu Joseph - Thobias Leizer
Chuo Kikuu cha Jurdan - Newton Chamkongo
Chuo cha Mtakatifu John
- Salvatory Sege
- Leiza Maige
Chuo Kikuu Kishiriki DUCE - Atupele
Watakaotaka facts zaidi kwa ajili ya constructive criticism and critiques waseme tuwaongezee. Watakaotaka kuendelea kujadili ukabila, udini, rangi au eneo analotoka mtu kama vitu vya msingi sana kwao katika kujadili viongozi bora waendelee.
kwani wewe ndiyo mwakilishi wa waislamu Tanzania .... kama ni hivyo basi waislamu wanakazi ..... vinginevyo naona unawawakilisha kile kikundi cha vurugu cha ponda issa ponda
Mod Invisible tumegundua janja yenu dhidi ya CDM, TandaleOne hajapigwa ban mpaka sasa, tujue moja apigwe BAN Tumaini Makene au , TandaleOne
Ndugu mwandishi wa habari naomba unijibu swali moja dogo maana hapo kwenye bold inaonyesha unajua mengi sana. Je hayo majina ya dini moja imetokea bahati mbaya? au ni mikakati? Je katika hivyo vyuo hakuna wa dini nyingine? mfano duce inayochukua waalimu inasemekana wengi 50/50 pengine ni wa ile dini nyingine maana wao si ndio wanafeli sana na siku hizi ualimu ni fani ya wanaofeli? Lakini mwenyekiti wa pale duce anatokea dini nyingine?
Kuna mambo yanaweza kuonekana ni hoja dhaifu lakini mambo kama haya hayamuingii mtu akili hata ukitetea kwa namna gani sana sana sisi tusiofungamana na vyama tutaona mambo mawili.
1. Wewe ni mfia chama
2. Unawezeshwa kubwabwaja
Siku njema ila naomba ufikirie kuwa katika uongozi woote huo uliotuletea wa vyuo mbalimbali uteuzi wa kuwapigia kura hao ulikuwa wa kimkakati au imetokea bahati mbaya?
Ndugu mwandishi wa habari naomba unijibu swali moja dogo maana hapo kwenye bold inaonyesha unajua mengi sana. Je hayo majina ya dini moja imetokea bahati mbaya? au ni mikakati? Je katika hivyo vyuo hakuna wa dini nyingine? mfano duce inayochukua waalimu inasemekana wengi 50/50 pengine ni wa ile dini nyingine maana wao si ndio wanafeli sana na siku hizi ualimu ni fani ya wanaofeli? Lakini mwenyekiti wa pale duce anatokea dini nyingine?
Kuna mambo yanaweza kuonekana ni hoja dhaifu lakini mambo kama haya hayamuingii mtu akili hata ukitetea kwa namna gani sana sana sisi tusiofungamana na vyama tutaona mambo mawili.
1. Wewe ni mfia chama
2. Unawezeshwa kubwabwaja
Siku njema ila naomba ufikirie kuwa katika uongozi woote huo uliotuletea wa vyuo mbalimbali uteuzi wa kuwapigia kura hao ulikuwa wa kimkakati au imetokea bahati mbaya?